InternationalMANCHESTER CITY YAIWINDA SAINI YA HAALAND Saleh4 years ago01 mins IMEELEZWA kuwa Klabu ya Manchester City inahitaji kuinasa saini ya Erling Haaland ili kuweza kuwa naye ndani ya kikosi msimu ujao. Hesabu hizo zinakuja baada ya msimu huu kukosa saini ya Harry Kane mwaka uliopita. Euro 75 milioni zimewekwa mezani ili kumpata nyota huyo wa Borussia Dortmund pia na Real Madrid wanatajwa kuhitaji saini ya nyota huyo. Lakini hesabu kubwa kabisa kwa Real Madrid ni kupata saini ya Kylian Mbappe wa PSG. Post navigation Previous: NAMNA PUMZI YA MOTO ILIVUTWA UWANJA WA MKAPANext: BEKI YANGA MWAMNYETO ANAWINDWA SIMBA
Soccer Football - LaLiga - Atletico Madrid v Espanyol - Metropolitano, Madrid, Spain - November 6, 2022 Atletico Madrid's Joao Felix scores their first goal REUTERS/Juan Medina Siku ya Maokoto! Bundesliga, EPL, LaLiga na Serie A Leo Saleh1 day ago1 day ago 0