MITETEMO YA MAYELE YATUMIKA KUITISHA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umetumia mitetemo ya Fiston Mayele kuwatisha wapinzani wao wajao kwenye ligi ambao watakuwa ni Simba. Yanga inaongoza ligi ina pointi 51 baada ya kucheza mechi 19 bila kupoteza huku Simba ambao ni mabingwa watetezi wakiwa na pointi 41 baada ya kucheza mechi 19. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa uwepo…

Read More

SIMBA HESABU ZAO KIMATAIFA ZIPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa akili zao ni kuelekea mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates. Aprili 17,2022 Simba itakuwa na mchezo wa kusaka ushindi dhidi ya Orlando Pirates Uwanja wa Mkapa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari,Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema…

Read More

MORRISON ‘OUT’ SIMBA

KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison sasa ni rasmi kuwa hawezi kwenda nchini Afrika Kusini kutokana na kufungiwa kuingia ndani ya nchi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa klabu hiyo Barbara Gonzalez amethibitisha hilo rasmi kuwa jitihada zilizofanyika za kumuombea kibali cha kuingia nchini Afrka Kusini zimegonga mwamba. Barbara amesema:“Tuliwasiliana na watu…

Read More