SIMBA YATAMBA KUTINGA HATUA YA NUSU FAINALI

UONGOZI wa kikosi cha Simba, umetamba kuwa walikuwa tayari wamejiandaa kukutana na mpinzani yeyote kwenye Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na wanaamini wana uwezo wa kuwaondoa Orlando Pirates ya Afrika Kusini na kutinga nusu fainali ya michuano hiyo. Katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika Simba wamefuzu hatua ya robo fainali baada ya…

Read More

UBINGWA YANGA MWANGA 85 ASILIMIA

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ambao Yanga wameupata dhidi ya Azam FC Aprili 6, sasa kocha wa timu hiyo, Nassredine Nabi, anaamini wana asilimia 85 za kutwaa ubingwa msimu huu wa 2021/22. Lakini amewasisitiza wachezaji wake waendelee kupambana ili kuhakikisha wanakamilisha asilimia zote za ubingwa msimu huu. Yanga katika mchezo wa mzunguko wa pili…

Read More

MORRISON NA SAKHO WAWATISHA WASAUZI

UONGOZI wa Orlando Pirates, umewataja wachezaji kama Bernard Morrison na Pape Ousmane Sakho kuwa ni wachezaji wa kuchungwa katika mchezo wao kutokana na ubora wao waliouonyesha katika mchezo uliopita ambapo Simba waliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya USGN ya nchini Niger. Orlando Pirates ambao wamepangwa kucheza na Simba katika hatua ya robo fainali…

Read More

DJUMA APEWA KAZI NYINGINE YA MAYELE NA NTIBANZOKIZA

BEKI mkongwe wa Yanga, Mkongomani, Shaaban Djuma, amepewa majukumu mapya ya kupiga penalti zote itakazozipata timu hiyo inayowaniwa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Aprili 6,2022 Djuma alipiga penalti na kufunga bao la kwanza dhidi ya Azam katika ushindi wa 2-1, Chamazi. Hiyo ni penalti ya pili kwa beki huyo kuipiga katika msimu huu tangu ajiunge…

Read More