YANGA YAINGIA ANGA ZA NYOTA STARS

AKICHEZA mechi mbili akiwa na kikosi cha Taifa Stars kwa mara ya kwanza, straika George Mpole, tayari ameivutia Klabu ya Yanga inayotaka kumsajili kuelekea msimu ujao wa 2022/23. Mpole mwenye mabao nane kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu akiitumikia Geita Gold, hivi karibuni alikuwa sehemu ya kikosi cha Taifa Stars kilichocheza mechi mbili za kirafiki…

Read More

YANGA YAREJESHA SHUKRAN KWA JAMII

WACHEZAJI wa Yanga pamoja na benchi la ufundi leo Aprili Mosi wamepata muda wa kuweza kutoa misaada kwa vituo mbalimbali vya Watoto Yatima. Hii ni maalumu kwa ajili ya kuelekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ni Kampuni ya GSM kwa kushirikiana na Yanga weweza kuyafanya hayo ikiwa ni kurejesha shukrani kwa jamii. Mbali na kutoa msaada…

Read More

KOCHA YANGA AWAAMBIA WACHEZAJI ATAFANYA MAAMUZI MAGUMU

KUTOKANA na presha wanayoipata kutoka kwa wapinzani wao katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amewaambia wachezaji wake kwamba, wanapaswa kuipambania timu katika mechi kumi zilizosalia, kwani mwisho wa msimu atafanya uamuzi mgumu. Nabi ametoa maagizo hayo ikiwa Yanga inaongoza katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa…

Read More

ASHA MASAKA AANZA CHANGAMOTO MPYA SWEDEN

MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, Twiga Stars, Asha Masaka ambaye alikwea pipa kwa na kuibukia  Sweden Machi 30 tayari ameshatambulishwa kwenye timu yake mpya na kuanza kazi. Nyota huyo amepata dili la kujiunga na Klabu ya BK Hacken inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sweden kwa makubaliano na Klabu ya Yanga Princes…

Read More

KIUNGO WA KAZI NGUMU SIMBA AREJEA

SADIO Kanoute kiungo wa kazi chafu kwenye mechi za kimataifa na zile za ligi amerejea mazoezini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo dhidi ya USGN. Kanoute alikosekana kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas uliochezwa nchini Benin na Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-0. Kwenye mechi za makundi, Kanoute amecheza mechi 4 na kayeyusha dk 329…

Read More

JESUS MOLOKO ANAIPIGIA HESABU NAMBA YAKE

KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kuwa na majeraha amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na anahitaji kuanza kikosi cha kwanza. Wakati alipokuwa nje kwa muda kiungo huyo mikoba yake ilikuwa mikononi mwa Said Ntibanzokiza,Farid Mussa na Chico Ushindi ambao walikuwa wakipewa majukumu na Kocha Mkuuu wa Yanga, Nasreddine…

Read More

ADEBAYO AWEKA WAZI NAMNA ATAKAVYOIMALIZA SIMBA

KIUNGO mshambuliaji wa US Gendarmerie, Victorien Adebayor, ameweka wazi kuwa atahakikisha anapambana kwa nguvu ili kuisaidia timu yake kupata ushindi dhidi ya Simba,Jumapili ijayo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Mchezo huo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho utapigwa Jumapili ya Aprili 3, unatarajia kuwa mkali kwani kila timu ina nafasi ya…

Read More