>

TWAHA KIDUKU NA KABANGU MIKWARA YATAWALA

MABONDIA Twaha Kiduku na Alex Kabangu leo wamekutana kwa mara kwanza na kila mmoja kumchimba mkwara mwenzake kuelekea katika pambano la ubingwa wa UBO Afrika linalotarajia kupigwa keshokutwa Jumamosi mkoani hapa. Kiduku na Kabangu watapanda ulingoni katika pambano hilo ambalo litachezwa kwa raundi nane katika uzito wa kati ambalo litapigwa kwenye Ukumbi wa Tanzania chini…

Read More

WAWA AFUNGUKIA KUHUSU UBINGWA

BEKI wa kati wa Simba, Muivory Coast, Pascal Wawa, amewataka mashabiki wa timu hiyo kupunguza presha ya ubingwa wa Ligi Kuu Bara licha ya Yanga kuongoza ligi kwa pointi nyingi kwa kuwa bado ubingwa upo wazi, hauna mwenyewe. Wawa ametoa kauli hiyo Yanga ikiwa inaongoza ligi kwa pointi 48 ikifuatiwa na Simba wenye pointi 37,…

Read More

MASHINDANO YA GOFI EUROPE TOUR KUFANYIKA KILIMANJARO

SERIKALI kwa kushirikiana na Chama cha mchezo wa Gofu Tanzania (TGU), kimethibitisha kuwa wenyeji wa mashindano ya Gofu Europe Tour yatakayofanyika Aprili 7 hadi 10 mwaka huu katika viwanja vya Kilimanjaro Jijini Arusha. Mashindano hayo yana lengo la kuunga mkono wa juhudi ya serikali chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan kuendeleza utalii nchini.  Mwenyekiti wa…

Read More

FISTON MAYELE ATAJA SABABU ZA KUFUNGA MABAO 10

FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa ya kuweza kufunga mabao 10 ndani ya ligi ni kutimiza majukumu yake pamoja na kufanya kile anachokifanya mazoezini. Msimu wa 2021/22 Mayele amecheza mechi 18 na kufunga mabao 10 kati ya 31 ambayo yamefungwa na timu hiyo na ametoa pasi 3 za mabao. Mayele amesema kuwa…

Read More

SIMBA WALIJIPA UGUMU KIMATAIFA NAMNA HII KIMATAIFA

LICHA ya Simba kuwa na umiliki mzuri kwa rekodi kuonyeshwa kwamba walikuwa na asilimia 55 huku wapinzani wao ASEC Mimosas wakiwa na asilimia 45 bado haikuwapa pointi tatu mazima. Kichapo cha mabao 3-0 kiliwapotezea ramani ya kuwa na uhakikwa wa kutinga hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Shirikisho kwa kuwa awali walikuwa wanaongoza kundi…

Read More

KI AZIZ MIKONONI MWA MABOSI WA KARIAKOO

MSHAMBULIAJI wa ASEC Mimosas, Stephan Aziz KI anatajwa kuingia kwenye rada za mabosi wa Kariakoo. Nyota huyo amekuwa gumzo kutokana na uwezo wake wa kucheka na nyavu pamoja na kuwasumbua mebeki wa timu pinzani. Ni ametupia mabao matatu katika Kombe la Shirikisho Simba na Yanga zinatajwa kuwania saini yake. Nyota huyo aliwatungua Simba nje ndani…

Read More