SIMBA YAPOTEZA KIMATAIFA BAO 3-0 YACHAPWA

UGENINI Simba imepoteza kwa kufungwa mabao 3-0 huku mabao yakipachikwa na Aubin Kramo Kouame dk 16,Stephane Aziz dk 23 na Karim Konate dk 57. Licha ya Air Manula kuokoa penalti mbili bado kazi ilikuwa ngumu kwa washambuliaji kuweza kucheka na nyavu. Katika kundi D sasa pointi inashushwa kutoka nafasi ya kwanza mpaka nafasi ya tatu…

Read More

MAPUMZIKO:ASEC MIMOSAS 2-0SIMBA

UBAO unasoma ASEC Mimosas 2-0 Simba na utulivu kwa Simba tatizo dk 14 za mwanzo walitengeneza nafasi nne zote wakakosa na ni shuti moja la Meddie Kagere lililenga lango dk ya 27. Aubin Kramo Kouame dk 16 na Stephane Aziz wamemtungua Manula ambaye aliokoa penalti dk ya 36. Simba ina kazi kubwa ya kuweza kusaka…

Read More

SIMBA KAZINI LEO KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho wakiwa hatua ya makundi Simba wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ASEC Mimosas. Huu ni mchezo wa tano kwa Simba wakiwa na pointi 7 kibindoni baada ya kucheza mechi 4 na wapinzani wao ASEC Mimosas wapo nafasi ya pili na pointi 6. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza…

Read More