>

VIDEO:MACK YANGA AICHANA SIMBA AWEKA WAZI KWAMBA HAKUNA TIMU PALE

MACK Yanga, shabiki wa Yanga amesema kuwa Yanga ni tamu,amewazungumzia wapinzani wake Simba pia ambao wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa.

Februari 27 Yanga ilishinda mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa na watupiaji walikuwa ni Fiston Mayele aliyetupia mawili na Said Ntibanzokiza.