>

NABI:TULIWAZIDI MBEYA CITY KILA KITU

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, yenye pointi 36 ikiwa nafasi ya kwanza kwenye ligi kuu, amesema kuwa waliwazidi wapinzani wao Mbeya City walio na pointi 23 kwenye kila kitu ndani ya dakika 90, kasoro kuwafunga tu ndio walishindwa. Uwanja wa Mkapa Februari 5, ubao ulisoma Yanga 0-0 Mbeya City ambapo jitihada za Fiston Mayele…

Read More

MERIDIANBET MKUCHU CUP INAVYOENDELEA KUBAMBA KUNDUCHI!

Soka la kitaa linaendelea kuwa fursa kwa vijana na chachu ya ushirikiano. Meridianbet Mkuchu Cup imechukua taswira hii kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali ya kata ya Kunduchi na sehemu mbalimbali za Dar es salaam. Meridianbet Mkuchu Cup ilianza kwa kushirikisha jumla ya timu 20 kutoka maeneo ya Mwananyamala, Mwenge, Kinondoni, Magomeni, Bunju, Tegeta, Kunduchi, Kawe,…

Read More