>

FT:SIMBA 6-0 DAR CITY,KOMBE LA SHIRIKISHO

USHINDI wa mabao 6-0 dhidi ya Dar City unaipa nafasi Simba kutinga hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho. Ni katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa na Simba waliweza kwenda mapumziko wakiwa wametupia mabao manne. Ni Meddie Kagere alitupia mabao mawili huku Clatous Chama na Rally Bwalya wakitupia bao mojamoja. Kipindi cha pili Pascal Wawa…

Read More

KOCHA MPYA AZAM FC ASAINI MIAKA MITATU

OMAR Abdikarim Nasser amesaini dili la miaka mitatu kuwa Kocha Msaidizi mpya wa Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Januari 29 alitambulishwa rasmi kuwa ni mali ya timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zao za nyumbani. Kwa mujibu wa Azam FC wamebainisha kwamba ujio wake ni pendekezo la Kocha…

Read More

MUGALU NA BOCCO WATOA GUNDU SIKU YA 193

JANUARI 28 mastaa wawili wa Simba ambao ni washambuliaji, John Bocco na Chris Mugalu walitoa gundu ya kutofunga kwa muda mrefu kwenye ligi kwa kuweza kufunga kwenye mazoezi. Ilikuwa ni siku yao ya 193 ya kuweza kucheza bila kufunga baada ya kuweza kutupia mara ya mwisho Julai 18,2021 katika mchezo wa ligi dhidi ya Namungo…

Read More

YANGA KUPELEKWA MANUNGU

OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru ameweka wazi kwamba hawafikirii kuacha kuutumia Uwanja wa Manungu kwa wakati huu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara ambazo zipo mbele yao ikiwa ni pamoja na ile dhidi ya Yanga. Kifaru amesema kuwa uwekezaji ambao wameufanya unawapa nguvu ya kutumia uwanja wao bora ambao upo kwenye viunga vya…

Read More

MASTAA SIMBA WAPIGISHWA TIZI KWENYE JUA KALI KINOMA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba  Ijumaa aliwafanyisha mazoezi wachezaji wake mchana wa jua kali ikiwa ni maandalizi ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) dhidi ya Dar City unaotarajiwa kuchezwa leo Jumapili, Uwanja wa Mkapa. Kocha huyo sambamba na msaidizi wake, Selemani Matola waliwafanyisha mazoezi hayo mida ya saa nane…

Read More