>

AJIBU APIGA HESABU NDEFU

BAADA ya kusaini dili la mwaka mmoja ndani ya kikosi cha Azam FC kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu amepiga hesabu ndefu za kufanya vizuri kwa ajili ya Tanzania na mashabiki wa Azam FC. Desemba 30 Ajibu ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Simba alitambulishwa rasmi Azam FC kwa kandarasi ya mwaka mmoja. Anakuwa ni mchezaji wa kwanza…

Read More

STARS KUKWEA PIPA BAADA YA MECHI

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Novemba 11 ikimaliza kazi mbele ya DR Congo, itaelekea Madagascar kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo utakaopigwa Novemba 14, 2021 kusaka tiketi ya kufuzu kombe la Dunia Qatar 2022, ambapo Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania imetoa ndege kuelekea mechi hiyo.   Katibu Mkuu…

Read More