
YANGA, SIMBA, AZAM ZAPEWA TP MAZEMBE, RED ARROW NA WABABE WA SUDAN
TIMU za Tanzania zinazoshiriki michuano ya Caf zitapata nafasi nzuri ya kujiandaa na msimu mpya kwa kucheza na timu za Zambia, Sudan, Rwanda, Kenya na Uganda. Habari za uhakika zinaonyesha Yanga, Azam, Simba na Coastal Union zitashiriki michuano ya Cecafa dhidi ya timu kutoka katika mataifa hayo. Cecafa ni Baraza lenye wanachama 12 ikiwemo Zanzibar….