
STARS YAPEWA DRC, ETHIOPIA NA GUINEA KUFUZU AFCON 2025
DROO ya kuwania kufuzu kombe la Mataifa Afrika 2025, AFCON 2025 imefanyika leo Julai 4, 2024 Jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambapo timu za Mataifa 48 yamebaini wapinzani wao kwenye hatua ya makundi kwa toleo la 35 la michuano hiyo inayofanyika kila baada ya miaka miwili. Timu ya taifa ya Tanzania imepangwa kwenye Kundi H sambamba…