HII HAPA SABABU YA YANGA KUJA NA PACOME DAY

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kuja na Pacome Day Kitaalamu Zaidi inatokana na utaalamu wa kiungo huyo kwenye eneo la kiungo mshambuliaji ndani ya uwanja kuwapoteza wachezaji wengi wa timu pinzani. Ipo wazi kwamba ndani ya Ligi Kuu Bara, Pacome kafunga mabao sita na pasi tatu za mabao katika Ligi ya…

Read More

NGOMA NZITO, POLISI TANZANIA YAWAPIGA MKWARA YANGA

MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation Yanga leo wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya tatu. Februari 19 kuna mechi ambazo zilichezwa katika raundi ya tatu na matokeo ilikuwa  Coastal Union 1-0 Mbeya Kwanza,  Singida FG 2-0 FGA Talents na Dodoma Jiji 2-1 Biashara United leo ni zamu ya Yanga. Ali…

Read More

SIMBA WANAWAFUATA ASEC MIMOSAS NAMNA HII

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas wawakilishi Simba wamebainisha kwamba maandalizi yapo tayari na mpango wao ni kupata matokeo mazuri. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Februari 23 siku ya Ijumaa kwenye msako wa pointi tatu kwenye mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Meneja wa…

Read More

FREDDY NA GUEDE HAPA VIPI? CHAMA AFUTA MABAO YAKE

Freddy na Guede hapa VIPI? Clatous Chama mwamba wa Lusaka amefuta mabao yake yote Soma Gazeti la Championi kwa urahisi mtandaoni kupitia Global App: https://globalapp.co.tz Au M-Paper: https://shorturl.at/dxABL Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa Gusa link hii kusoma Gazeti la Championi leo Jumatatu Feburuari 19, 2024 kila siku kupitia link hii…

Read More

TABORA UNITED WATUMA UJUMBE HUU AZAM FC

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Goran Kopunovic amebainisha kwamba mchezo wao dhidi ya Azam FC hautakuwa mwepesi kutokana na wapinzani wao kuwa imara kwenye kusaka matokeo. Ipo wazi kuwa Azam FC ipo nafasi ya tatu mchezo wao uliopita wa kufunga mzunguko wa kwanza walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Geita Gold mchezo uliochezwa Uwanja…

Read More