
YANGA SC LINAPITA PANGA LA MOTO HUKO, KOCHA MPYA KASHIKILIA MAJINA
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, inayodhaminiwa na NBC Yanga SC msimu wa 2024/25 wapo kwenye hesabu kupitisha panga la moto. Timu hiyo ilitwaa ubingwa ikiwa na pointi 82 na safu ya ushambuliaji ilifunga mabao 83. Miloud Hamdi ameshasepa ndani ya Yanga SC alitangazwa kuwa kocha bora ndani ya Juni 2025 na mchezaji bora ni…