MGENI RASMI SIMBA KIMATAIFA NOMA, KAZI INAENDELEA

KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa Simba dhidi ya Bravos mgeni rasmi wa mchezo huo ni pasua kichwa kuwa hayupo kwenye orodha ya wachezaji yeye ni Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally. Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ipo kwenye maandalizi ya mwisho kwa ajili…

Read More

MATAJIRI WA DAR WAMEANZA KAZI 2025

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamerejea mazoezini ndani ya mwaka mpya 2025 kuendeleza ushindani katika mechi zijazo kutoka Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba sita kwa ubora Afrika. Mchezo wa funga kazi 2024 kwa Azam FC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa Desemba 27 2024 na baada ya dakika…

Read More