MGENI RASMI SIMBA KIMATAIFA NOMA, KAZI INAENDELEA
KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa Simba dhidi ya Bravos mgeni rasmi wa mchezo huo ni pasua kichwa kuwa hayupo kwenye orodha ya wachezaji yeye ni Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally. Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ipo kwenye maandalizi ya mwisho kwa ajili…
EXCLUSIVE: DEREVA ALIYEENDESHA BASI LA YANGA LA UBINGWA KUTOKA UGANDA, AFUNGUKA MENGI USIYOYAJUA..
GLOBAL TV imefanya mahojiano na Dereva aliyeendesha gari walilotumia Yanga kwenye kushangilia Ubingwa wao jana juni 26, ambalo limetoka nchini Uganda. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Yanga Yaingia Kambi Zanzibar: Maandalizi Rasmi Ya Ligi Ya Mabingwa Yaanza
Kikosi cha Yanga SC kimeanza rasmi maandalizi yake ya kuelekea mchezo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutua visiwani Zanzibar, ambako kitaweka kambi maalum kwa siku kadhaa. Wachezaji na benchi la ufundi walifika mapema asubuhi na moja kwa moja kuingia katika ratiba ya mazoezi, hatua ambayo imeonyesha dhamira ya klabu hiyo kufanya maandalizi…
TIMIZA NDOTO ZAKO HII LEO UKIBASHIRI NA MECHI ZA LEO
Mambo vipi mteja wa Meridianbet? Hivi unajua kuwa unaweza kutimiza ndoto zako leo hii endapo utabashiri mechi zako na Meridianbet kwani huku unapata kile ambacho wewe unakitaka tena kwa wakati. Kuna ODDS KUBWA, Machgauo zaiidi ya 1000 na Turbo Cash pia ipo. Kule nchini Azerbaijan katika dimba la Tofiq Bakhramov ambapo Bayer Leverkusen atakuwa mgeni…
MATAJIRI WA DAR WAMEANZA KAZI 2025
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamerejea mazoezini ndani ya mwaka mpya 2025 kuendeleza ushindani katika mechi zijazo kutoka Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba sita kwa ubora Afrika. Mchezo wa funga kazi 2024 kwa Azam FC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa Desemba 27 2024 na baada ya dakika…