
GUSA ACHIA YA YANGA BALAA ZITO, MZIZE KWENYE RAMANI
GUSA achia twende kwao ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic ina balaa zito baada ya pointi tatu kubaki Uwanja wa Mkapa huku mshambuliaji Clement Mzize akifunga moja ya bao kali ambalo limeandika rekodi yake kwa msimu wa 2024/25. Kwenye mchezo huo uliochezwa Januari 4 2025 Yanga walianza kufungwa ila wakaweka usawa kupitia kwa…