SIMBA V YANGA MATOKEO MSIBEBE MFUKONI

PRESHA kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Desemba 11, ambao ni wa watani wa jadi wanakutana kusaka pointi tatu muhimu. Mashabiki wanahitaji kuona matokeo chanya kwa timu zao na mshindi ni yule ambaye atafanya maandalizi mazuri kwa wakati huu. Ipo wazi kwamba utakuwa ni mchezo wenye…

Read More

SIMBA YAGOMA KUWA DARAJA,YAWAITA MASHABIKI KWA MKAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hautakuwa daraja kwa wapinzani wao,Orlando Pirates ya Afrika Kusini katika mchezo wao wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba wanatarajia kuwa wenyeji wa Orlando Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar na baada ya hapo watarudiana Aprili 24, huko Sauzi Ahmed Ally, Meneja wa Kitengo cha Habari…

Read More