PACOME AITWA NA MABOSI YANGA SC

NYOTA wa Yanga SC Pacome Zouzoua inaelezwa kuwa ameitwa na mabosi wa timu hiyo ili kujadili kuhusu kuongeza mkataba kuendelea kusalia ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Pacome ni chaguo la kwanza la Hamdi ambapo kwenye msimu wa 2024/25 kacheza jumla ya mechi 23 Pacome kahusika kwenye mabao 18 akiwa kafunga…

Read More

MERIDIANBET YAZINDUA “GATES OF OLIMPIA” – SLOTI MPYA YA KIPEKEE KUTOKA EXPANSE STUDIOS

Meridianbet inayo furaha kubwa kutangaza uzinduzi wa mchezo mpya wa slot unaochukua wachezaji katika safari ya kimungu isiyosahaulika. “Gates of Olimpia”, kazi mpya ya kipekee kutoka kwa Expanse Studios, sasa inapatikana kwa wateja wa Meridianbet pekee. Ikiwa katika dunia ya hadithi za Kigiriki, Gates of Olimpia huleta uhalisia wa miungu wa kale kupitia picha za…

Read More

YANGA SC NI 10 KWA MNYAMA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, Yanga SC tofauti yao kwenye pointi na Simba SC ni pointi 10. Ikumbukwe kwamba wababe hawa wawili hawajakutana mzunguko wa pili baada ya mchezo wao kuyeyuka Machi 8 2025 unatarajiwa kupangiwa tarehe na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Sababu ambazo zilisababisha…

Read More

MAAJABU YA WILD 27 KASINO YA MTANDAONI

 Kama unapenda sloti za matunda, basi chaguo lako limepata kiburudisho chenye hisia kali kiasi kwamba huwezi kusubiri kupoteza hata dakika moja bila kucheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Wild 27 ni sloti kutoka kasino ya mtandaoni iliyoandaliwa na mtayarishaji wa michezo ya kasino Fazi . Kwenye mchezo huu wa sloti, kwa msaada wa matunda matamu,…

Read More

UNYAMA NI MWINGI NDANI YA MERIDIANBET LEO

Ni Ijumaa ya kwanza ya mwezi Mei ambapo mwezi huu umekuja kivingine ndani ya Meridianbet. Unajua kwanini?, Ni kwasababu huu ndio mwezi ambao ligi zinaenda kuisha hivyo fanya kubashiri mapema uibuke bingwa kabla ligi hazijaisha. SAUDI ARABIA ligi kuu itaendelea kwa michezo kadhaa ambapo Al Ettifaq ataumana dhidi ya Al Khaleej ambapo tofauti ya pointi…

Read More

MASHUJAA FC SIO KINYONGE KUIKABILI SIMBA SC

BENCHI la ufundi la Mashujaa FC limebainisha kuwa limefanya maandalizi mazuri kuelekea mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Simba SC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex saa 10:00 jioni. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-1 Simba, Steven Mukwala…

Read More

BEKI LA KAZI LIMEREJEA KUWAKABILI MASHUJAA FC

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Che Malone amerejea na huenda akawa sehemu ya wachezaji watakaokuwa kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Ipo wazi kwamba beki huyo alikuwa nje kwa muda mrefu baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa MzizmaDabi uliochezwa Uwanja…

Read More

MFUNGAJI BORA MUUNGANO CUP HUYU HAPA

MAXI Nzengeli ni mfungaji bora Muungano Cup 2025 akifunga jumla ya mabao mawili kwenye mechi tatu ambazo Yanga SC imecheza. Nzengeli alifungua ukurasa wa mabao katika mchezo wa hatua ya nusu fainali dhidi ya Zimamoto ilikuwa Aprili 29 2025 alipopachika bao dakika ya 29. Kwenye mchezo huo baada ya dakika 90 ubao wa Gombani ulisoma…

Read More

SIMBA KWENYE MSAKO WA POINTI TATU ZA MASHUJAA

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wanatambua mpinzani wao Mashujaa FC yupo imara wataingia kucheza kama fainali ili kufikia malengo yakupata pointi tatu. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kati ya Simba SC dhidi ya Mashujaa FC unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mzunguko wa pili. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo…

Read More

YANGA MABINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO

ZANZIBAR-Young Africans Sports Club (Yanga SC) ya jijini Dar es Salaam imetwaa taji la saba la Michuano ya Kombe la Muungano. Ni baada ya Mei 1, 2025 katika dimba la Gombani lililopo Kisiwani Pemba kuwachapa Maafande wa Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar (JKU) kwa bao 1-0. Bao pekee la Maxi Mpia Nzengeli lilipatikana dakika ya…

Read More

YANGA YAANGUKIA PUA CAS, KARIAKOO DERBY IPO PALE PALE

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imetupa rufani ya klabu ya Yanga yenye kumbukumbu namba CAS 2025/A/11298 ambayo klabu hiyo iliifungua dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuhusiana na mchezo wa Ligi Kuu wa Derby ya Kariakoo kati ya Yanga Sc dhidi ya Simba Sc ulioahirishwa. Taarifa ya Shirikisho la…

Read More