MKALI WA MABAO BONGO ATAJA KILICHO NYUMA YA TUZO

MKALI wa mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Clement Mzize amefichua kilicho nyuma ya mafanikio yake kwenye kusepa na tuzo. Mzize kwenye mchezo dhidi ya Fountain Gate uliochezwa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Aprili 21 aliibuka kuwa mchezaji bora ubao uliposoma Fountain Gate 0-4 Yanga. Ushindi huo unaifanya Yanga…

Read More

SIMBA TAMBO TUPU MSIMU MPYA, KOCHA ATAMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa presha mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia muda walioupata katika kambi yao nchini Uturuki, umewasaidia kuwajenga. Ipo wazi kuwa Simba wanatambua kwamba ni Yanga walitwaa taji la ligi msimu wa 222/23 hivyo kocha huyo amewaandaa vizuri wachezaji wa timu huyo kwa ajili ya msimu ujao. Simba…

Read More

YANGA SC YAKOMBA MILIONI 262.5 KUTOKA SportPesa

 KAMPUNI ya SportPesa imewapa Yanga SC Milioni 262.5 ambazo ni sehemu ya kukamilisha takwa la kimkataba kwa kutoa gawio la Tsh milioni 262.5 kama sehemu ya hongera kwa mafanikio bora yaliyopatikana ndani ya timu hiyo. Ilikuwa Julai 9 2025. Ikumbukwe kwamba Klabu ya Yanga SC imekuwa na mahusiano ya muda mrefu yanayokaribia kufikia miaka 8…

Read More

ISHU YA CHAMA KURUDI BONGO,YANGA,SIMBA ZATAJWA

KIUNGO bora wa zamani wa Simba, Clatous Chama anatajwa kurudi tena Bongo huku timu mbili za Kariakoo, Simba na Yanga zikitajwa kuwania saini yake. Chama msimu wa 2020/21 alikuwa kwenye kikosi bora cha msimu na pia alitwaa tuzo ya kiungo bora ikumbukwe pia kwa msimu wa 2019/20 alitwaa tuzo ya kiungo bora pamoja na mchezaji…

Read More

ONYANGO AINGIA ANGA ZA WASAUZI

VIGOGO wa soka kutoka Afrika Kusini, Orlando Pirates wametajwa kuwa bado kwenye mpango wa kumsajili beki wa kati wa Simba raia wa Kenya,  kwa ajili ya Kuimarisha kikosi chao kwa msimu ujao . Onyango anatarajia kumaliza mkataba wake ndani ya Simba mwishoni mwa msimu huu, ambapo Orlando wanajipanga kutumia nafasi hiyo kumsajili kama mchezaji huru,…

Read More

PIGA MKWANJA KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE NA EPL LEO

Ligi ya mabingwa barani ulaya kama kawaida imekua ni michezo ya neema kwa wapenzi wa ubashiri, Kwani watu wamekua wakinyakua mikwanja ya kutosha kupitia michezo hii lakini utapigwa mchezo mmoja mkali wa ligi kuu ya Uingereza leo. Michezo ambayo inakwenda kuchezwa leo ina asilimia kubwa kukuacha milionea kwani michezo ya ligi ya mabingwa barani ulaya…

Read More

BINGWA MAPINDUZI CUP KULAMBA MAMILIONI

KAMATI ya Kombe la Mapinduzi, imetangaza rasmi kwamba, bingwa wa michuano hiyo ataondoka na kitita cha shilingi milioni 100, huku mshindi wa pili kukabidhiwa shilingi milioni 70. Mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kuanza Desemba 28, mwaka huu, yatashirikisha timu 12, huku msimu uliopita bingwa ambaye alikuwa Mlandege, aliondoka na shilingi milioni 50. Mwenyeketi wa Kamati ya…

Read More

FISTON MAYELE KIMATAIFA KATUPIA, KAZI NYINGINE INAFUATA

MSHAMBULIAJI Fiston Mayele kwenye anga za kimataifa ni mabao 7 katupia katika mechi tatu za ushindani ambazo Yanga imecheza. Mayele amefunga mabao hayo kwenye mchezo dhidi ya Zalan FC ya Sudan katika mechi mbili ni mabao sita aliwafunga, mchezo wa kwanza alifunga mabao matatu na ule wa pili alifunga mabao matatu. Yanga ilitinga raundi ya…

Read More

HAWA HAPA MASTAA YANGA WATAKAOIBUKIA SUDAN

KIKOSI cha Yanga alfajiri ya Oktoba 15,2022 wanatarajia kukwea pipa kuelekea nchini Sudan kwa ajili kuwakabili Al Hilal, Jumapili. Hiki hapa kikosi kazi cha Yanga kinachotarajia kuibukia nchini Sudan:- Makipa ni Aboutwalib Mshery Djigui Diarra Eric Johora Mabeki Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Dickson Job Ibrahm Abdullah, (Bacca) Djuma Shaban Kibwana Shomari Mutambala Lomalisa David Bryson…

Read More

MERIDIANBET MKUCHU CUP INAVYOENDELEA KUBAMBA KUNDUCHI!

Soka la kitaa linaendelea kuwa fursa kwa vijana na chachu ya ushirikiano. Meridianbet Mkuchu Cup imechukua taswira hii kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali ya kata ya Kunduchi na sehemu mbalimbali za Dar es salaam. Meridianbet Mkuchu Cup ilianza kwa kushirikisha jumla ya timu 20 kutoka maeneo ya Mwananyamala, Mwenge, Kinondoni, Magomeni, Bunju, Tegeta, Kunduchi, Kawe,…

Read More