SIMBA NGOMA NZITO KWENYE ULINZI

KATIKA mechi tatu àmbazo ni dakika 270 Simba imeruhusu jumla ya mabao manne ikikwama kuondoka na clean sheet katika mechi hizo. Ngoma ni nzito kwenye upande wa ulinzi huku benchi la ufundi likibainisha kuwa litafanyia kazi hayo yote kwenye uwanja wa mazoezi. Seleman Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema wanatambua kuwa kuna makosa yanatokea jambo…

Read More

FOUNTAIN GATE VS AZAM FC PATACHIMBIKA

Mchezo wa Fountain Gate vs Azam FC, Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Juni 22 2025 patachimbika uwanjani kwa wababe hao kuvuja jasho kusaka ushindi ndani ya dakika 90. Fountain Gate hesabu kubwa ni kujinasua kutoka mstari wa kucheza play off huku Azam FC hesabu kubwa ikiwa ni kumaliza ndani ya tatu bora ikiwa na pointi nyingi….

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE KWENYE JAMBO LA WATANZANIA

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa mchezo wao wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Future ya Misri unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Azam Complex ni jambo la Watanzania. Timu hiyo inatupa kete yake saa 10 jioni huku mashabiki wakiombwa kujitokeza kwa wingi kuishangalia timu hiyo inayopeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga…

Read More

UEFA MAMBO NI MOTO SANA

Meridianbet wanakwambia hivi, siku ya leo na kesho unaweza kupasua anga kwa kusuka jamvi lako ukiwa na akaunti yako ya Meridianbet kwani huku ndiko kuna mechi za kibabe na machaguo zaidi ya 1000. Kivumbi leo hii kitaanzia pale Parc des Princes ambapo PSG baada ya kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya Nusu Fainali wa…

Read More

SHINDA MAMILIONI KWA KUCHEZA RICH PANDA

Mchezo wa kukupa mamilioni ni mmoja tu mjini Rich Panda ndio habari ya mjini unaweza kunyakua maokoto ya kutosha kupitia mchezo huu kabambe wa kasino ambao kwasasa unapendwa na kutoa washindi wapya kila siku. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu,…

Read More

TANZANIA YASHINDA MBELE YA SOMALIA

 UWANJA wa Mkapa mchezo wa kuwania kufuu CHAN, timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars imeweza kuibuka na ushindi mbele ya Somalia. Ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Somalia 0-1 Tanzania na kuwafanya Watanzania kuweza kuanza kwa ushindi kwenye mchezo wa leo. Mtupiaji wa bao la Tanzania ni kiungo Abdul Suleiman, ‘Sopu’ ambaye alipachika bao hilo…

Read More

LILE PIRA DUBAI LA SAMBA LOKETO LILIPIGWA NA NYUNDO

ILIKUWA mwendo wa msako wa pointi tatu kwa timu zote mbili ambazo msimu wa 2022/23 zimekuwa zikionyeshana ubabe haswa ndani ya dakika 90. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliviera iliyotamba kuja na pira Samba Loketo liligongwa nyundo kinomanoma na Mbeya City inayonolewa na Adallah Mubinu. Mchezo wa fungua mwaka 2023 kwa Simba na mchezo…

Read More

YANGA KAMILI KUWAVAA AL HILAL KIMATAIFA

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Abdihamid Moalin amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Al Hilal utakuwa ni mgumu lakini wapo tayari kwa ajili ya kusaka pointi tatu muhimu kutokana na umuhimu wa mchezo huo kwa Yanga. Ikiwa Yanga itapata pointi tatu kwenye mchezo huo itabakiwa na mchezo mmoja Uwanja wa Mkapa ambao huo utaamua hatima…

Read More

RASMI: SURE BOY ATAMBULISHWA YANGA

BREAKING: RASMI Kiungo Salum Aboubakhari ametambulishwa Yanga akiwa mchezaji huru. Nyota huyo alikuwa anakipiga ndani ya Azam FC ambapo mkataba wake ulikuwa unatarajiwa kumeguka msimu huu lakini aliomba kuvunja mkataba. Hiyo ilitokana na matatizo ya kinidhamu ambapo ilipelekea akasimamishwa kwa muda usiojulikana na hata walipoambiwa warudi kambini Sure Boy hakuwa tayari kurudi aliomba kuvunjiwa mkataba…

Read More

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024, YAPO HAPA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Said Mohamed ametangaza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2024 na kueleza kuwa ufaulu umepanda. Dkt. Said ameeleza zaidi kuwa ufaulu umepanda kwa 3% hadi kufikia 92.3% kwa jumla ambapo watahiniwa 477, 262 wamefaulu kidato cha nne kati ya wahitimu 516, 695. MATOKEO YA…

Read More