AZIZ KI, FEISAL KWENYE VITA YAO NYINGINE, WAFUNGUKA

MASTAA wawili wanaofanya kazi kubwa kwenye kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja katika mechi za Ligi Kuu Bara, Aziz KI na Feisal Salum wamefungukia hatma yao kuhusu kutwaa tuzo ya kiatu cha ufungaji bora. Mei 25 wababe hao wawili kila mmoja atakuwa kazini kupambania nembo ya timu ambapo Yanga watakuwa na kibarua dhidi ya Tabora…

Read More

HAJI MANARA:NILIKUJA KAMA MSHEREHESHAJI TU

HAJI Mnara,amesema kuwa kwenye tamasha la Wiki ya Mwananchi amehudhuria pale akiwa ni MC na sio msemaji wa Yanga. Agosti 6,2022 katika kilele cha Wiki ya Mwananchi,Manara aliibuka na kufanya sapraizi kubwa kwa mashabiki na wanachama wa Yanga. Ikumbukwe kwamba Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) ilitoa adhabu kwa Manara Julai 21 mwaka…

Read More

GEITA GOLD WAMEUMALIZA MWENDO KIMATAIFA

MWENDO wa Geita Gold kimataifa umegota mwisho leo Septemba 17,2022 baada ya kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Hilal Al Sahil SC. NI faida ya bao la ugenini wanapata wapinzani wa Geita Gold ambao mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini walishinda kwa bao 1-0. Juma ni mabao 2-2 wanakuwa wamefungana na kuifanya Geita Gold kufungashiwa virago…

Read More

URAHISI WA MAISHA NI KUCHEZA BLACKJACK LIVE

Mchezo wa Blackjack Live        Watengenezaji wa michezo ya kasino mtandaoni Expanse Studios, inakuletea mchezo rahisi kucheza na kushinda kupitia Meridianbet Kasino Mtandaoni, ukikutana na wachezaji wa Karata bila shaka watakutajia na huu mchezo kuwa ni pendwa Zaidi kwa wengi. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwa kutumia kibunda chenye…

Read More

SIMBA YAIPIGIA MATIZI RED ARROWS KWA MKAPA

PABLO Franco, leo Novemba 26 ameongoza mazoezi kwa mara ya kwanza kwa kikosi chake katika Uwanja wa Mkapa. Mazoezi ya leo ni kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano na unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Itakuwa ni Novemba 28 ambapo mashabiki 35,000 wa Simba wameruhusiwa kuingia kushuhudia mchezo huo. Kwa…

Read More

KUMBE!CHAMA HAKUTAKIWA KUSAJILIWA SIMBA

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama hakutakiwa kusajiliwa ndani ya kikosi cha Simba msimu huu wa 2021/22 na badala yake alitakiwa kusajiliwa mshambuliaji wa kazi ambaye angetatua tatizo la ubutu wa ushambuliaji. Kiongozi mmoja wa Simba ambaye yupo ndani ya kamati inayofanya masuala ya usajili ameeleza kuwa ni mapendekezo yaliyofanywa na mtu mmoja pekee ambaye alitaka…

Read More

VIDEO:AZAM FC KUSHUSHA MAJEMBE WENGINE WAWILI

AZAM FC kushusha majembe wengine wawili wa kazi kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Wafungukia ishu ya Feisal Salum kiungo wa kwanza kusajiliwa akitokea kikosi cha Yanga. Feisal ni kiungo anayevaa jezi namba sita kutoka Yanga na sasa atakuwa akipata changamoto mpya ndani ya Azam FC katika ligi kuu bara

Read More

MITAMBO YA MABAO AZAM FC HII HAPA

WAKIWA ni vinara ndani ya Ligi Kuu Bara Azam FC kuna nyota wawili ambao ni mitambo ya mabao ikiwa ni pamoja na Feisal Salum na Kipre Junior. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Yuuph Dabo ilikuwa kwenye mwendo mzuri wa ligi lakini kwenye Mapinduzi 2024 iligotea hatua ya robo fainali ilipokwama kupata ushindi mbele ya…

Read More

SIMBA KUWA TIMU YA KWANZA KUTUMIA VAR BONGO

WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye mashindano ya kimataifa wanakwenda kuandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutumia mfumo wa msaada wa VAR kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Tokea VAR ianze kutumika katika mchezo wa soka duniani, haijawahi kutumika kwenye Uwanja wowote nchini na Simba iliyofikia hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho…

Read More