HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kwa mara nyingine tena mzunguko wa kwanza msimu wa 2024/25 ambapo kuna viwanja vitatu vitakuwa kwenye mtafutano wa pointi tatu. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga wao watakuwa na kazi Oktoba 26 kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Oktoba 25 2025 hizi hapa mechi…

Read More

MASTAA HAWA SIMBA OUT KUIKOSA NAMUNGO

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Mwenge saa 10:00 jioni kuna mastaa wa Simba zaidi ya wawili ambao wataukosa mchezo huo kutokana na kutokuwa fiti. Ikumbukwe kwamba Jean Ahoua, Yusuph Kagoma na Abdulazack Hamza ambayr ni bekiΒ  hawa wote walikosekana mchezo dhidi ya Tanzania Prisons, Uwanja wa Sokoine walipata…

Read More

FOUNTAIN GATE WATUMA UJUMBE HUU BLACK STARS

ISSA Liponda, maarufu kama Issa Mbuzi, Ofisa Habari wa Fountain Gate ameweka wazi kuwa watawanyamazisha wapinzani wao Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Oktoba 25 Fountain Gate itakuwa Uwanja wa Liti kusaka pointi tatu mbele ya Singida Black Stars unaotarajiwa kuchezwa saa 8:00 mchana na utakuwa mubashara Azam TV. Ipo wazi kuwa…

Read More

NYAKUA MKWANJA LEO KUPITIA MICHUANO YA UEFA EUROPA LEAGUE

Meridianbet leo wanaweza kua sababu ya wewe kunyakua mkwanja wa kutosha kupitia michuano ya Uefa Europa League, Kwani leo itapigwa michezo mikali ya michuano hiyo ambayo imepewa Odds bomba. Michezo ya Europa league imekua ikiwapa watu wengi fursa ya kunyakua mamilioni kila ambapo michuano hii inapokua inachezwa, Hivo leo ni siku nyingine tena ya kupata…

Read More

‘PEP GUARDIOLA MNENE’ KOCHA MPYA NAMUNGO

Aliyekuwa kocha wa klabu ya Simba Sc, Juma Mgunda ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Namungo Fc ambapo atasaidiwa na Kocha Ngawina Ngawina, Shadrack Nsajigwa na Vladimir Niyonkuru. Taarifa iliyotolewa na Wauaji hao wa Kusini imebainisha kuwa aliyekuwa Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera amebadilishiwa majukumu ambapo kwa sasa atakuwa mshauri wa benchi la Ufundi.  

Read More

BARCELONA YAWAPIGA CHUMA NNE BAYERN MUNICH

Raphinha amefunga hat-trick huku Robert Lewandowski akifunga bao lake la 97 kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Bayern Munich ikipokea kichapo cha 4-1 dhidi ya Barcelona katika dimba la OlΓ­mpic LluΓ­s Companys. FT: Barcelona πŸ‡ͺπŸ‡Έ 4-1πŸ‡©πŸ‡ͺ Bayern Munich ⚽ 1’ Raphinha ⚽ 36’ Lewandowski ⚽ 45’ Raphinha ⚽ 18’ Kane ⚽ 56’ Raphinha 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„:…

Read More

CLEMENT MZIZE ANA KAZI KUBWA YANGA

CLEMENT Mzize mshambuliaji wa Yanga ana maajabu yake ndani ya Bongo kutokana na kupenya katika kikosi cha kwanza mbele ya miamba Prince Dube, Jean Baleke, Kennedy Musonda ambao wote ni washambuliaji akiwa na kazi kubwa ya kufanya kutimiza majukumu yake. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar Mzize alianzia benchi na alipopata nafasi…

Read More

KIBU DENNIS AMEANZA BALAA, ATAFUTWE MWINGINE

KIBU Dennis kiungo mshambuliaji wa Simba amejihakikishia nafasi kikosi cha kwanza chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ambapo kwenye mechi mbili mfululizo alianza kikosi cha kwanza. Katika Kariakoo Dabi, Kibu hakukomba dakika 90 lakini aliingia kwenye orodha ya nyota waliochezewa faulo zaidi ya tano ndani ya uwanja na mojawapo alisababisha kadi ya njano kwa Dickson…

Read More

YANGA MBELE YA JKT TANZANIA REKODI HIZI HAPA

CHINI ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, Yanga walikomba pointi tatu mazima baada ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma Yanga 2-0 JKT Tanzania. Hapa tunakuletea baadhi ya rekodi za wachezaji wa timu zote mbili namna hii:- DJIGUI DIARRA Kipa namba moja wa Yanga mchezo wake wa sita mfululizo ambazo ni dakika 540 amekaa langoni…

Read More

CHAMA MZEE WA MAAMUZI MAGUMU

KIUNGO wa Yanga, Clatous Chama ni yuleyule wa maamuzi magumu kwenye mechi ambazo anapewa nafasi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Oktoba 22 2024 alifunga bao lake la kwanza kwenye ligi kwa pigo la faulo akiwa nje ya 18 mbele ya JKT Tanzania na alitoa pasi moja dakika ya 23 kwa…

Read More

WALICHOFANYA MASTAA WA SIMBA NA TANZANIA PRISONS

MASTAA wa Tanzania Prisons na Simba walikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Oktoba 22 Uwanja wa Sokoine baada ya dakika 90 ubao ukasoma Tanzania Prisons 0-1 Simba. Kila nyota alifanya kazi kubwa kutimiza majukumu yake na hapa tunakuletea baadhi ya walichofanya mastaa wa timu hizo namna hii:-…

Read More

MAKIPA BONGO MAKOSA YAO YANAWAADHIBU

KWENYE mechi mbili mfululizo, Mussa Mbisa kipa namba moja wa Tanzania Prisons amefanya kosa moja lililoigharimu timu kufungwa bao moja. Rekodi zinaonyesha kuwa mchezo dhidi ya Azam FC Uwanja wa Sokoine alifungwa bao moja kwa kosa la kutema mpira mtupiaji alikuwa Idd Nado dakika ya 11 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine…

Read More

MIHELA YAKO IPO RICH PANDA LEO

Unataka kushinda mihela? Basi suluhisho ni moja tu kucheza mchezo wa Rich Panda ambao utakupa fursa hiyo na kuifanya wiki yako kuaΒ  ya kibabe na sio ya kutia huruma cheza mchezo huu leo ushinde. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu,…

Read More