YANGA WANABALAA HAO MWENDO WAO GUSA ACHIA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic kwenye gusa achia twende kwao balaa zito wakiituliza Simba mazima kwenye kasi ya utupiaji wa mabao ndani ya ligi namba nne kwa ubora. Ikumbukwe kwamba Desemba 2024 ni Clement Mzize ambaye ni mshambuliaji alichaguliwa kuwa mchezaji bora na Sead alitangazwa kuwa kocha bora kutokana na ushindi…

Read More

YANGA WAANDAA JAMBO KUBWA KWENYE USAJILI

KATIKA kuelekea usajili wa dirisha la Januari, mwaka huu wadhamini wa Yanga, Kampuni ya GSM, wamewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kufanya usajili mkubwa na wa kishindo.   Yanga imeonekana kudhamiria msimu huu kutwaa mataji yote wanayoshindania ikiwemo Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), ambayo yote yanatetewa na Simba.   Timu…

Read More