BREAKING: GRACE MAPUNDA (TESSA) AFARIKI DUNIA

Habari za kusikitisha zilizotufikia asubuhi hii ya Novemba 2, 2024 zinaeleza kuwa, muigizaji nguli wa Bongo Movies, Grace Mapunda almaarufu Tessa anayeng’ara kwenye Tamthiliya ya Huba amefariki dunia. GLOBAL TV imezungumza na Meneja Uzalishaji (Production Manager) wa Huba Series aitwaye Saffi ambaye amethibitisha kutokea kwa msiba huo mzito. Saffi amesema Tessa amefariki dunia alfajiri ya…

Read More

YANGA YAIPIGA MKWARA AZAM FC

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawana hofu na wapinzani wao Azam FC licha ya timu hiyo kupata muda mrefu wa kufanya maandalizi kuelekea mchezo wao wa Dar Derby katika NBC Premier League. Ikumbukwe kwamba Azam FC mchezo wake uliopita ilicheza dhidi ya Ken Gold na kupata ushindi wa mabao 4-1 inakutana na…

Read More

Timiza Ndoto Zako na Meridianbet Sasa

Anza taratibu kutimiza ndoto zako na Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako la uhakika kwani mechi kibao zinapigwa leo na odds zao zikiwa ni kubwa sana. Jisajili na ubashiri sasa. Ligi kuu ya Italia SERIE A, kuna mechi zenye kukupatia pesa Bologna kuchuana dhidi za US Lecce ambapo timu zote zimetoka kushinda mechi…

Read More

MASHUJAA WAPOTEZA MBELE YA SIMBA JIONI

MSHAMBULIAJI wa Simba, Steven Mukwala maarufu kama mshambuliaji mrefu kuliko goli, mipira ya juu haruki ni waa, leo Novemba Mosi amefunga bao kwa kurukia mpira wa juu. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-1 Simba bao likifungwa na Mukwala kwa pigo la kichwa baada ya kuruka juu kuufuata mpira…

Read More

AUCHO KUIKOSA AZAM FC

KIUNGO wa Yanga, chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi atakosekana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex, Novemba 2 2024. Ni NBC wadhamini wa ligi yenye ushindani mkubwa huku Azam TV kwenye upande wa kurusha mubashara mechi zote za ligi msimu wa 2024/25. Sababu…

Read More

KOCHA WA YANGA ATOA TAMKO DHIDI YA AZAM KESHO!

“Hatuna muda wa kutosha wa kujiandaa na mchezo, lakini tupo tayari kushindana na Azam FC. Utakuwa ni mchezo wenye msisimko wa aina yake kwangu na kwa kocha wa Azam kwani namfahamiana nae kwa miaka 25, utakuwa wasaa mzuri kati yetu.“ “Naheshimu kila timu, Azam wana timu nzuri, wana kocha mzuri. Tutajitahidi kufanya kila linalowezekana kuhakikisha…

Read More