
ROBERTINHO ACHARUKA, GAMONDI AWAMEZESHA ‘SUMU’ MAXI, AZIZ KI
ROBERTINHO acharuka Uturuki, Gamondi awamezesha ‘sumu’kali Maxi, Aziz Ki ndani ya Championi Jumamosi
ROBERTINHO acharuka Uturuki, Gamondi awamezesha ‘sumu’kali Maxi, Aziz Ki ndani ya Championi Jumamosi
UONGOZI wa Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu Barbara Gonzalez umeweka wazi kuwa straika wao Dejan Georgijevic hajafuata taratibu kwenye suala la kuvunja mkataba wake. Nyota huyo maarufu kama Mzungu wa Simba, mapema jana Septemba 28,2022 kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram alibainisha kuwa amethibitisha mkataba wake wa ajira ndani ya Simba umesitishwa. “Ninathibitisha kwamba…
Leo hii ni afe kipa afe beki lazima uondoke na ushindi ndani ya Meridianbet ambapo viwanja mbalimbali vitaenda kuwaka moto timu zikisaka kwa hali na mali ushindi. Beti sasa ujishindie pesa za maana. Manchester United watakuwa Old Trafford kucheza dhidi ya Bodoe/Glimt kutoka kule Norway ambapo timu hizi zimetofautina pointi moja pekee. United ipo chini…
RELLIATS Lusajo kasi yake ya kucheka na nyavu imezidi kushika kasi baada ya leo kupachika bao lake la tano ndani ya Ligi Kuu Bara. Ni mbele ya Coastal Union dakika ya 38 kwa mkwaju wa penalti kwenye mchezo unaochezwa Uwanja wa Majaliwa,Ruangwa, Lindi. Mzawa huyo kwa sasa ni namba moja kwa kucheka na nyavu akiwa…
KAMPUNI ya Meridian Bet imeandaa muendelezo wa Bonanza lao mashindano ya mtaani ya Meridian Bet street soccer bonanza litafanyika leo kwenye uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke, Dar es Salaam
JEMBE atoboa siri Feial na kesi yake na Yanga
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa watazidi kupambana kwa kuwa wana jambo lao kila mchezouliopo mbele yao wakihitaji kufanya vizuri. Azam FC kwenye mechi mbili mfululizo iliambulia sare ilikuwa dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons. “Tupo imara kwenye mechi ambazo tunacheza na malengo yetu ni kuona kwamba…
NGOMA ni nzito kwa makocha wawili wa mitaa ya Kariakoo, Robeto Oliveira wa Simba na Nasreddine Nabi wa Yanga kwenye anga za kimataifa kutokana na kila mmoja kutusua na wachezaji wake kwenye anga la utupiaji. Ni wale wa Simba wanaongoza kumsimamisha Rob ambapo ni mara 9 alinyanyuka kwenye benchi kufurahia mabao yaliyozamishwa kimiani. Mwamba wa…
Mlinda mlango wa Coastal Union, Ley Matampi ameshinda tuzo ya golikipa bora wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara Msimu wa 2023/2024 akiwashinda Djigui Diarra wa Yanga na Ayoub Lakred wa Simba SC.
KIUNGO mzawa mali ya Azam FC Feisal Salum MWENYE jumla ya mabao 11 katika orodha ya watupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara anazidi kuonyesha ubora wake kwa vitendo uwanjani. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Machi 3 2024 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 4-1 Dodoma Jiji na Fe alitupia mabao mawili….
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa kazi kubwa watafanya kwa msimu mpya wa 2023/24 wana imani na wachezaji wao wapya pamoja na wale waliokuwa katika kikosi msimu wa 2022/23. Leo Agosti 3 mastaa wa Simba wanatarajiwa kuanza maandalizi kwa ajili ya Simba Day inayotarajiwa kuwa Agosti 6. Mastaa wapya ndani ya kikosi cha Simba ni pamoja…
Winning Clover 5 Extreme ni sloti ya kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari mitatu, mistari mitano ya ushindi. Ili kupata ushindi wowote, ni lazima upate alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari wa malipo. Jisajili na Meridianbet ushinde Mamilioni. Unapocheza kasino ya mtandaoni hii ukipata bahati ya kupata alama nyekundu ya…
Sub-heading: Jisajili Meridianbet na upate mizunguko 50 ya bure ya kasino ya mtandaoni! Bonyeza hapa kujisajili https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Huenda wewe ukawa sehemu ya washindi wakubwa kila siku kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, pata bonasi kibao na ushindi mkubwa mara 1000 ya dau lako uliloweka kutoka sloti ya FoxPot Fahamu Kuhusu Sloti ya Foxpot Kutoka kasino…
Tunakuletea safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua sana ambayo imejaa bonasi za kasini za kumwaga. Jukumu lako ni kukusanya ushindi kadri iwezekanavyo, na ukifanikiwa, hautakosa mafanikio ya ajabu. Jisajili hapa ili usipitwe na mchezo huu. Bulls Eye Bells ni mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoletwa kwenu na mtengenezaji wa michezo wa Playtech. Katika mchezo huu,…
UWANJA ambao Simba itautumia dhidi ya Horoya kimataifa
MATAJIRI wa Dar Azam FC leo Mei 3 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni hatua ya robo fainali saa 2:300 usiku kwa wababe hao wawili kusaka ushindi kwa timu itakayotinga hatua ya nusu fainali. Tayari kwenye robo…
KUELEKEA kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Aprili 30 2022 kazi iwe ni moja tu mpira kuchezwa kwa ustaarabu huku kanuni zikifuatwa. Imekuwa kawaida kwa wengi kuhudhuria mchezo huu huku miongoni mwao wakiwa na matokeo ambayo wanayajua kwenye vichwa vyao na wakiamini kwamba itakuwa ni vile ambavyo wanafikiiria. Kama itakuwa…