JONAS MKUDE APENYA KUWANIA TUZO

KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Jonas Mkude maarufu kwa jina la Nungunungu amepenya kwenye orodha ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mchezaji bora ndani ya kikosi hicho. Mkude amekuwa katika ubora wake hivi karibuni baada ya kupewa nafasi kucheza katika mechi za ushindani alikuwa kwenye kikosi cha Yanga kilichokomba pointi tatu dhidi…

Read More

ORODHA YA WACHEZAJI SIMBA AMBAO HAWAPO FITI

WAKIWA kwenye mbio za kujinasua kutoka nafasi ya tatu waliyodumu kwa muda mrefu msimu wa 2023/24 orodha ya wachezaji ambao hawapo fiti imeongezeka. Aprili 30 kwenye funga Aprili waliambulia sare ugenini huku wakikosa huduma za nyota wao ambao wapo kwenye program maalumu kurejea kwenye ubora wao. Wakati ubao ukisoma Namungo 2-2 Simba wakigawana pointi mojamoja…

Read More

AZAM YASHUSHA KIUNGO KUTOKA MALI

KLABU ya Azam imefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) kumsajili kiungo mshambuliaji, Franck Tiesse. kwa mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu ujao wa 2024-25. Tiesse (26) anayesifika kwa uwezo wake mkubwa wa kushambulia kwa kasi na uwezo wa kutumia miguu yote miwili, akiwa Stade Malien aliisaidia klabu hiyo kufika robo fainali ya Kombe…

Read More

HAPA BAYERN MUNICH DHIDI YA REAL MADRID KULE BORUSSIA DORTMUND DHIDI YA PSG USIKU WA ULAYA NGOMA INOGILE

Viwanja viwili barani ulaya vitawaka moto ndani ya wiki ambapo vitatumika kwenye nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya siku ya Jumanne leo na siku ya Jumatano ambayo ni kesho. Leo kiwanja ambacho kitaanza kuwaka moto ni Allianz Arena ambapo wenyeji Bayern Munich watawakaribisha klabu ya Real Madrid, Ambapo hapo kesho Signal Iduna Park kutawaka…

Read More

SIMBA KAZINI UWANJA WA MAJALIWA

KIKOSI cha Simba kinatarajiwa kuwa uwanjani leo kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Namungo, Aprili 30 2024. Ikumbukwe kwamba katika mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana Uwanja wa Uhuru ubao ulisoma Simba 1-1 Namungo FC walipogawana pointi mojamoja. Mchezo uliopita kwa Simba ambao ulikuwa ni wa mwisho kwa Abdelhakh Benchikha kukaa benchi ilikuwa Aprili…

Read More

MTIBWA SUGAR KWENYE NYAKATI NZITO

NDANI ya msimu wa 2023/24 yamekuwa ni mapito magumu kwa Mtibwa Sugar inayopambana kubaki ndani ya ligi kwa kusaka matokeo katika mechi zilizobaki. Sio nyumbani wala ugenini hali haijawa nzuri katika kupata matokeo ndani ya dakika 90 uwanjani chini ya Kocha Mkuu, Zuber Katwila. Aprili haijawa njema pia katika mashindano yake yote iligotea hatua ya…

Read More

YANGA YAFUNGIWA NA FIFA KUSAJILI, KISA HIKI HAPA

KLABU ya Yanga imefungiwa kusajili mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo Lazarus Kambole. Taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imeeleza kuwa uamuzi huo umefanywa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, (FIFA) baada ya mchezaji huyo kushinda kesi ya madai dhidi ya klabu hiyo. Yanga ilitakiwa iwe imemlipa ndani ya siku…

Read More

AUCHO ATUMA UJUMBE HUU

MWAMBA Khalid Aucho kiungo wa Yanga amewataka wapenda soka kumfurahia wakati huu akiendelea kulisakata kabumbu katika ligi ya Tanzania kwasababu hakuna Khalid Aucho mwingine ambaye ataonekana kwenye soka la Bongo. Nyota huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachoikabilia Tabora United kwenye mchezo wa hatua ya robo…

Read More