
MABOSI WAJITOKEZA KUINUNUA CHELSEA
IMERIPOTIWA kuwa familia ya Ricketts ipo kwenye orodha ya wale ambao wanahitaji kuinunua Klabu ya Chelsea inayomiliki Uwanja wa Stamford Bridge. Pia wengine ni pamoja na Mwenyekiti wa zamani wa Liverpool Martin Broughton. Kwa mara ya kwanza ililipotiwa na Sky News siku ya Alhamisi huku Boston Celtics na mmiliki wa kampuni ya Atalanta Stephen Pagliuca…