MEYA KUMBILAMOTO AUNGANA NA RAIS SAMIA KUWAPA POLE KARIAKOO

MEYA wa Jiji la Dar, Omary Kumbilamoto kwa  niaba ya Baraza la Madiwani wa Jiji la Dar ametoa pole kwa Watanzania wote kutokana na tukio la kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo. Ikumbukwe kwamba kwa sasa Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia vyombo vya usalama, Wananchi, Wafanyabiashara, Wanamichezo, mabondia wameungana kutokana na janga…

Read More

TAIFA STARS YAPANIA KUFANYA KWELI

 KIPA wa timu ya Taifa Stars, Aishi Manula ameweka wazi kuwa wana mchezo mgumu dhidi ya Guinea lakini lengo mama ni kuhakikisha wanfuzu AFCON 2025 kwa kuwa watakuwa nyumbani Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 19 2024 saa 10:00 jioni na tayari timu ipo Bongo kwa maandalizi ya mwisho baada ya kutoka kupata…

Read More

MSUVA AIKARIBIA REKODI YA NGASSA

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa, Taifa Stars, Simon Msuva katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ethiopia, kumemfanya nyota huyo kufikisha mabao 23 na kuifukuzia rekodi iliyowekwa na Mrisho Ngassa mwenye 25. Nyota huyo amefunga mabao 23 katika michezo 93 ya timu ya taifa tangu alipokitumikia kikosi hicho rasmi mwaka 2012, huku akibakisha mawili tu…

Read More

ISHU YA KIBU KUTOFUNGA JEMBE AFUNGUKIA NAMNA HII

WAKATI kiungo mshambuliaji wa Simba akipukutisha mwaka bila kufunga ndani ya Ligi Kuu Bara, Legend kwenye masuala ya michezo Bongo na Kimataifa, Saleh Ally wengi wanamuita Jembe ameweka wazi kuwa hiyo sio kazi ya Kibu kufunga. Ikumbukwe kwamba mara ya mwisho Kibu kufunga ilikuwa ni 5/11/2023 kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi baada ya dakika 90…

Read More

MECHI 10 ZA SIMBA BONGO NA MATOKEO YAKE HIZI HAPA

MECHI 10 Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imecheza huku ikambulia joto ya jiwe kwa kufungwa mchezo mmoja dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa Kariakoo Dabi na sare ni mchezo mmoja. Hizi hapa rekodi za mechi 10 za Simba ndani ya 2024/25 kwenye NBC Premier League namna hii:- Simba 3-0 Tabora United…

Read More

YANGA NA KIMATAIFA HESABU ZIPO HIVI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wameanza kupiga hesabu kimataifa kuelekea mchezo wao ujao dhidi ya Al Hilal ya Sudan unaotarajiwa kuchezwa Novemba 26 2024. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic tayari wameanza maandalizi kuelekea mchezo huo wa hatua ya makundi ndani ya msimu wa 2024/25. Bakari…

Read More

SIMBA WAKALI NDANI YA 18

KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ni wakali wa kufunga mabao mengi ndani ya 18 katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 ambao una ushindani mkubwa mwanzo mwisho. Ndani ya NBC Premier League ni mabao 19 mastaa wa Simba wamefunga ikiwa ni namba moja katika timu zilizofunga mabao mengi…

Read More