MAANDALIZI MUHIMU KWA SERENGETI GIRLS
KUWEZA kufuzu Kombe la Dunia ni hatua moja muhimu na kuweza kufanya maandalizi mazurini hatua ambayo inahitajika kuweza kufanyika kwa sasa. Tunaona kwamba Serengeti Girls ambayo ni Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17 ina kibarua cha kufanya kimataifa. Kombe la Dunia lipo njiani ambapo inatarajiwa kuweza kufanyika nchini India kuanzia Oktoba 11-30…