
VIDEO:CHICO USHINDI,YACOUBA OUT YANGA
MASTAA wawili ndani ya Yanga, Chico Ushindi na Yacouba Songne hawatakuwa kwenye mpango wa kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23 ambapo leo Julai 19,2022 Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara ameweza kuzungumzia suala hilo