SIMBA KAZINI KIMATAIFA LEO

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa hatua ya makundi wanatarajiwa kuwa kazini leo saa 1:00 usiku (kwa saa za Afrika Mashariki) katika mchezo wa mzunguko wa pili Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Chahid Hamlaoui nchini Algeria. Timu zote mbili…

Read More

Leo Hii Kuna Mvua ya Magoli Meridianbet

Endapo ukibashiri na Meridianbet siku ya leo nafasi ya wewe kuondoka na ubingwa unayo kabisa. Sasa unawezaje kukosa pesa zako leo?. Ingia www.meridianbet.co.tz na ubeti. SERIE A leo itaendelea Hellas Verona atapepetana dhidi ya Empoli ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee huku mwenyeji mechi yake iliyopita akipigika vivyo hivyo kwa mgeni wake….

Read More

Kuwa Tajiri na Mechi za Leo

Ni rahisi sana kupuna mpunga wako ukiwa na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Tukianza na BUNDESLIGA leo hii Bayer Leverkusen  atakipiga dhidi ya ST Pauli ambao wapo nafasi ya 15 kwenye ligi wakishinda mechi 3 pekee hadi sasa. Alonso na vijana wake…

Read More

SIMBA KWENYE HESABU NDEFU KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Simba Leonel Ateba ameweka wazi kuwa watapambana kutafuta ushindi kwenye mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Desemba 8 2024. Simba kwa sasa ipo nchini Algeria kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya CS Constantine ambapo ni Aishi Manula aliyekuwa kwenye mpango wa safari alipata changamoto ya kiafya hivyo…

Read More

YANGA KWENYE PRESHA KISA KUPOTEZA, KAZINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic ameweka wazi kuwa wapo kwenye presha kubwa kwa sasa kwenye mechi za kimataifa kutokana na kupoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi ya Al Hilal lakini watapambana kupata matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza kwa Yanga katika hatua ya makundi walikuwa nyumbani na baada ya dakika…

Read More

WATUMISHI WAASWA KUJIANDAA MAPEMA KABLA YA KUSTAAFU

WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…

Read More

PATA TSH 4,000,000/= KUTOKA KASINO YA MTANDAONI

Haiwezekani msimu huu wa Sikukuu Usiambulie chochote kutoka Meridianbet, ndugu jamaa na marafiki wafurahishe kwa kucheza kasino ya mtandaoni na michezo ya Bragg na ushinde mgao wa Tsh 4,000,000/= Promosheni inafanyika kwa mfumo wa mashindano kwenye michezo iliyochaguliwa iliyoandaliwa na Bragg (Gamomat, Atomic Slot Lab, Blue beri): scss Sticky Diamonds (GAM) Fruit Mania (GAM) Aura…

Read More