SIMBA KUIKABILI DODOMA JIJI KWA HESABU NZITO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji wataukabili kwa hesabu kubwa ya kupata pointi tatu kutokana na muda kuwa mchache kwenye maandalizi. Ni ushindi dhidi ya Azam FC ilipata kwenye mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Septemba 26 mchezo ulichezwa na…

Read More

YANGA YAWAINGIZA KMC KWENYE MTEGO

UONGOZI wa Yanga umewaingiza kwenye mtego wapinzani wao KMC kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex kwa kuwaambia kwamba itapata ushindi wa pili kwenye mchezo wao ikiwa watafunguka. KMC baada ya kucheza mechi nne imeambulia ushindi kwenye mchezo mmoja na ilipoteza kwa kufungwa mabao 4-0 dhidi ya Azam FC…

Read More

FEISAL ANAFANYA KILE AKIPENDACHO

KIUNGO wa Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani anafanya kile apendacho uwanjani kwa vittendo kutokana na kazi yake kuonekana ndani ya dakika 90 kwenye mechi ambazo anacheza. Ndani ya Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa watengeneza pasi za mwisho akiwa ametengeneza jumla ya pasi tatu za mabao kati…

Read More

GANZI YA MAUMIVU KUWAFIKIA WAKAZI WA NJOMBE

HATIMAYE ile simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo iliyopata nafasi ya kutoka kwenye gazeti la Championi na kusomwa na zaidi ya Watanzania milioni sasa inakwenda kuwafikia wakazi wa Njombe na vitongoji vyake hivi karibuni. Ikumbukwe kwamba hii ni simulizi ya kwanza kuwa kwenye mfumo wa kitabu imeandikwa na Mtunzi Lunyamadzo Myuka, A Boy From…

Read More

AZAM FC YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA BONGO

MATAJIRI wa Dar Azam FC msimu wa 2024/25 wamepoteza mchezo wa kwanza wakiwa ndani ya Uwanja wa New Amaan Complex mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Azam FC ilikuwa imecheza jumla ya mechi nne ambazo ni dakika 360 bila kuambulia kichapo kwenye mechi hizo ambapo ilipata ushindi kwenye mechi mbili na kuambulia…

Read More

SIMBA YATAMBIA USHINDI MBELE YA AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefurahia ushindi wao katika mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex kwa kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo. Ni Septemba 26 2024 mchezo huo ulichezwa baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ulisoma Azam FC 0-2 Simba mabao yakifungwa na Leonel…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA BONGO HII HAPA

MWENDO wa msako wa ushindi ndani ya uwanja kwenye mechi za Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuendelea leo Septemba 27 kwa mchezo mmoja kuchezwa Uwanja wa Tanzanite na utarushwa mubashara Azam TV  hivyo kama utashindwa kwenda uwanjani ni muda wako kukaa kwenye kideo kutazama mubashara. Ikumbukwe kwamba Septemba 26 2024 dunia ilishuhudia Mzizma Dabi Uwanja wa…

Read More

PILATO WA MZIZIMA DABI WEKA MBALI NA WATOTO

WAKATI ikiwa ni saa chache zimesalia kabla ya ulimwengu wa mpira kushuhudia Mzizima Dabi Uwanja wa New Amaan Complex, pilato wa mchezo huo weka mbali na watoto kutokana na misimamo yake akiwa kwenye majukumu yake. Azam FC itawakaribisha Simba kwenye mchezo wa kwanza msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar….

Read More

MZIZIMA DABI LEO, FOUNTAIN GATE MKWARA MZITO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea baada ya Septemba 25 2024 mabingwa watetezi wa ligi Yanga kusepa na pointi tatu ugenini dhidi ya Ken Gold, mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo huo lilifungwa na Ibrahim Bacca beki wa kazi akitumia pasi ya Aziz Ki ambaye kwenye mechi mbili mfululizo ametoa…

Read More

SIMBA HAWANA HOFU NA AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao kwenye mchezo wao wa Mzizima Dabi ambao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Simba imecheza mechi mbili ndani ya Ligi Kuu Bara ambazo ni dakika 180 na kupata ushindi kwenye mechi zote hizo huku Azam FC ikicheza mechi nne ambazo ni dakika…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA KEN GOLD

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya na kikubwa ni pointi tatu muhimu wanahitaji. Mchezo huo ni wa pili kwa Yanga ambao ni mabingwa watetezi ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ulichezwa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa kwanza msimu wa 2024/25 ambapo kila timu zipo tayari kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Vinara ni Singida Black Stars baada ya kucheza mechi nne wamekomba pointi zote 12 huku nafasi ya pili ikiwa ni Fountain Gate yenye pointi 10, Ken Gold ambayo itakuwa kazini leo…

Read More

MPANZU NI MALI YA SIMBA

WINGA raia wa DR Congo Ellie Mpanzu rasmi amemalizana na Simba kwa kusaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo inanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ikumbukwe kwamba Septemba 22 Mpanzu alikuwa Uwanja wa Mkapa kushuhudia timu hiyo ikicheza mchezo wa raundi ya pili Kombe la Shirikisho kusaka mshindi wa kutinga hatua ya makundi…

Read More