CAF YAURUHUSU UWANJA WA BENJAMIN MKAPA KUTUMIKA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeuruhusu uwanja wa Benjamin Mkapa kutumika kwa michezo inayosimamiwa na Shirikisho hilo baada ya Ukaguzi uliofanywa na Wakaguzi wa CAF mnamo Machi 20, 2025. Taarifa ya leo Machi 28, 2025 iliyotolewa na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) imeeleza kuwa CAF inaendelea kufuatilia kwa karibu maboresho yanayoendelea…

Read More

KASEJA AIPELEKA KAGERA ROBO FAINALI YA FA

Michuano ya kombe la Shirikisho la CRDB (FA CUP) imeendelea tena leo Machi 28, 2025 kwa mchezo mmoja ambapo Juma KASEJA ameiongoza Kagera Sugar kufuzu kwenda hatua ya robo fainali baada ya kuitupa nje Tabora United kwa mikwaju ya penalti 5-2. FT: Tabora United 1-1 Kagera Sugar ⚽ 02’ Andy Bikoko ⚽ 27’ Joseph Mahundi…

Read More

MECHI KALI ZINAENDELEA LEO BUNDESLIGA NA PRIMEIRA LIGA, MCHONGO UPO HAPA

Mechi kali zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Uingereza, CHAMPIONSHIP kitawaka vilivyo Sheffield United atakipiga dhidi ya Coventry City ambao mechi yao iliyopita wakishinda halikadhalika kwa mwenyeji naye aliondoka na ushindi. Mara ya mwisho kukutana…

Read More

SIMBA, YANGA ZAGONGANA KWA MSHAMBULIAJI MGHANA

WATANI wa jadi Simba na Yanga kwenye hesabu za kuboresha eneo la ushambuliaji inatajwa kuwa wamegongana kuwania saini ya raia wa Ghana, Jonathan Sowa ambaye yupo ndani ya kikosi cha Singida Black Stars. Nyota huyo ambaye ni ingizo jipya ndani ya Singida Black Stars amekuwa imara kwenye eneo lakutupia mabao ambapo kwenye mechi ambazo amecheza…

Read More

BEKI WA KAZI BACCA NA REKODI ZAKE YANGA, MIAKA 10

KUNA nyakati marafiki walikosa chakula na mfukoni hawakuwa na hata mia mbovu, ilikuwa vita ngumu kwao kupita kwa wakati huo ila waliibuka mashujaa bila kutarajia katika nyakati hizo kutokana na zile stori ambazo walianza kupiga. Ghafla waliacha kuzungumzia kuhusu bili waliyoacha kwa mama Amina pamoja na yale madeni ambayo yapo juu yao kwenye lile daftari…

Read More

Sloti ya Capital City Derby Meridianbet

Jiandae kwa tukio la michezo la sloti linalokusudiwa kuwafurahisha mashabiki wote wa michezo ya kubahatisha ya kasino ya mtandaoni! Uwe shabiki wa timu yenye jezi nyekundu au nyeusi na nyeupe, timu yako uipendayo itakusaidia kushinda bonasi za kushangaza na Mamilioni kutoka Meridianbet. Karibu kwenye tamasha la mpira wa miguu – cheza Capital City Derby! Chagua…

Read More

SIMBA YAINGIA MCHECHETO KISA BIG MAN

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa tayari unaendelea na maandalizi ya mechi za ushindani zilizo mbele yao ikiwa ni mchezo wa hatua ya CRDB Federation Cup dhidi ya Big Man ambao unatarajiwa kuchezwa Machi 27 2025, Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa wanatambua uwepo wa mechi…

Read More

MWAMBA MPANZU KUMBE GARI BADO HALIJAWAKA

WINGA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Ellie Mpanzu ameweka wazi kuwa bado hajafikia ubora wake kwa asilimia 100 kwenye mechi za ushindani hivyo kwa maana hiyo gari bado halijawaka. Hivyo licha yakuwa kwenye mwendelezo katika mechi ambazo anacheza bado chuma hakijapata moto kufikia makali ambayo anayo kutokana na uwezo wake…

Read More

YANGA YAWASHUKURU MASHABIKI KWA JAMBO HILI

WALTER Harson, Meneja wa Yanga amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars ulikuwa wenye ushindani mkubwa kutokana na mvua kubwa mchezo huo ulishindwa kumalizika huku wakiwashukuru mashabiki kwa kujitokeza kwa wingi kuwashangilia. Ni Machi 24 Singida Black Stars waliwakaribisha Yanga katika mchezo wa kirafiki ambapo ulikuwa maalumu kwa ajili ya uzinduzi wa Uwanja…

Read More

HII HAPA MITAMBO YA MABAO KUTOKA KARIAKOO

NDANI ya Ligi namba nne kwa ubora Afrika kuna mashine za kazi eneo la ushambuliaji ambazo zimekuwa kwenye mwendo mzuri kutoka kikosi cha Simba ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Vita sio nyepesi kwenye eneo la ushambuliaji ambapo mabingwa watetezi Yanga wao pointi zao kibindoni ambazo ni 58 ni saw ana idadi ya mabao…

Read More

NAIBU HAMIS MWINJUMA AZINDUA UWANJA, REKODI YAANDIKWA

NAIBU Waziri Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis  Mwinjuma, maarufu kwa jina la FA rasmi amezindua Uwanja wa Airtel, Singida ambao utatumiwa na timu hiyo kwa mechi za ushindani.  FA kwenye uzinduzi huo amepiga bonge moja ya penati ambayo ilimshinda mlinda mlango namba moja wa Singida Black Stars, Metacha Mnata. Ilikuwa ni kwa mguu wake wa…

Read More