
POLISI TANZANIA YAPANDA NAFASI MOJA
USHINDI ambao wameupata Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu umewaondoa kutoka nafasi ya 16 mpaka 15. Katika mchezo uliochezwa Aprili 21 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Polisi Tanzania 2-1 Ihefu. Mabao ya Ihefu yalifungwa na Kelvin Sabato huku lile la Ihefu likifungwa na Adam Adam. Ushindi huo unaifanya Polisi…