CHEZA NA USHINDE MAMLIONI YA GODDESS OF THE NIGHT KASINO.

Historia Inasema kwamba Marekani iliwahi kukaliwa na Wahindi wekundu kabla yaw a Waafrika kuanza kupelekwa na kufanyishwa kazi mashambani na viwandani. Kupitia kasino ya mtandaoni unaweza kujifunza mengi huku unatengeneza pesa, kwa kucheza mchezo unaoitwa Goddess of the Night. Jisajili na Meridianbet kubashiri kirahisi na kushinda. Goddess of the Night Kasino ya Mtandaoni Mchezo wa…

Read More

ORODHA YA VINARA KWENYE UTUPIAJI LIGI KUU BARA

KAZI bado inaendelea ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora kwa kila timu kupambania kufikia malengo kukamilisha mzunguko wa pili 2024/25. Katika eneo la ushambuliaji kuna orodha ya mastaa ambao ni wakali kwenye eneo la kucheka na nyavu waliopo kwenye vita ya kuwania tuzo ya kiatu cha ufungaji bora. Hapa…

Read More

MERIDIANBET YAWAPELEKA WACHEZAJI KWENYE DUNIA YA MIUNGU KUPITIA MCHEZO MPYA – GATES OF OLIMPIA

Wapenzi wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…

Read More

YANGA SC WAIVUTIA KASI NAMUNGO FC

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wapo kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Namungo FC unaotarajiwa kuchezwa Mei 13 2025. Yanga SC ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 70 baada ya kucheza mechi 26 ni ushindi kwenye mechi 23 wakiambulia sare…

Read More