
KAZI IPO KWA WACHEZAJI WA SIMBA KIMATAIFA
MAJIBU ya nani atakuwa mshindi atakayesonga hatua ya nusu fainali kwenye mashindano mapya ya African Football League kati ya wawakilishi wa Tanzania, Simba dhidi ya Al Ahly ya Misri yanasubiriwa leo. Ukweli ni kwamba mchezo wa leo una maana kubwa kwa Simba kuandika rekodi mpya ambayo itabaki kwenye kumbukumbu za muda wote. Ni mchezo mgumu…