YANGA HAO MALAWI KWA KAZIKAZI

MSAFARA wa Yanga leo Julai 5 umeanza safari kwa ajili ya kuelekea nchini Malawi. Timu hiyo imealikwa katika mchezo maalumu wa siku ya Uhuru ikiwa ni miaka 59 ya Uhuu wa Malawi. Julai 6 kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mchezo maalumu katika maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa nyota waliopo katika kikosi ni…

Read More

KMC KUPITA NA THANK YOU KWA NYOTA 11

BAADA ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa ushindi kwenye mchezo wa mtoano KMC imewaandikia mastaa 11 barua za kuwapa mkono wa Thank You. Ni Yanga wamesepa na ubingwa wa ligi kwa msimu wa 2022/23 hivyo KMC nao wanapiga hesabu za kufanya vizuri katika msimu ujao. Ipo wazi kwamba kwenye mechi waliyokutana na Yanga…

Read More

MAJEMBE MAWILI YA KAZI NDANI YA AZAM FC

MASTAA wawili wametambulishwa ndani ya Azam FC kwa ajili ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Tayari 2022/23 imegota mwisho huku mabingwa wakiwa ni Yanga waliotwaa taji hilo chini ya Nasreddine Nabi. Yanga kwa sasa inaendelea na maboresho ya timu kupambana na wapinzani wao msimu ujao ikiwa ni pamoja na Azam FC ambao…

Read More

FURAHA YA SASA IDUMU MWANZO MWISHO

KILA mmoja wakati wa usajili anaonekana kuwa na furaha akivutia upande wake kuwa usajili utakuwa bora na imara. Sio Simba, Yanga, Geita Gold mpaka Mtibwa Sugar neno ni moja watafanya usajili mzuri utakaoleta matokeo chanya. Singida Fountain Gate FC hawa wanashiriki mashindano ya kimataifa kama ilivyo Azam FC ambao wameanza kutambulisha mashine zao za kazi….

Read More

VIDEO:ISHU YA USAJILI SIMBA WAMTAKA ADEBAYO/ONYANGO

JULAI Mosi 2023 dirisha la usajili limefunguliwa huku mashabiki wa Simba wakiweka wazi kuwa wanahitaji wachezaji bora ambao watawapa furaha na mataji. Ipo wazi kuwa msimu wa 2022/23 Simba imepishana na mataji muhimu ambayo yamekwenda Yanga. Yanga imetwaa ligi, Ngao ya Jamii na Azam Sports Federation huku Simba ikiambulia nafasi ya pili kwenye ligi

Read More

YANGA KUANZA KUSHUSHA VYUMA VYA KAZI

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa tayai timu hiyo imeshakamilisha zoezi la usajili kwa ajili ya kusuka kikosi hicho. Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 baada ya kugotea nafasi ya kwanza na pointi 78 kibindoni. Timu hiyo ya Yanga imewapoteza wapinzani wao ikiwa ni pamoja na Simba iliyogotea nafasi ya…

Read More

WENGINE WATAMBULISHWA AZAM FC WAWILI

KHALIFA Ababakar Fall ametambulishwa kuwa kocha wa makipa na Ibrahim Diop ni mchambuzi wa mechi (Video Analyst), wote raia wa Senegal ndani ya Azam FC. Ni Julai 3 makocha hao wametambulishwa ndani ya kikosi cha Azam FC kinachotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi za nyumbani. Timu hiyo ipo kwenye maboresho ya kikosi hicho ambacho…

Read More

ALIYEKUWA ANAWINDWA NA YANGA HUYO KAIZER

MKALI wa kutupia kutoka Marumo Gallants ya Afrika Kusini, Ranga Chivaviro ametambulishwa rasmi na kuwa ni mchezaji halali wa klabu ya soka ya Kaizer Chiefs ya nchini humo. Mshambuliaji huyo kutoka Marumo Gallants iliyoshuka daraja msimu uliopita amesaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo kwa muda wa miaka miwili huku kukiwa na chaguo la kuongeza mwaka…

Read More

UWEKEZAJI LIGI YA VIJANA UNAHITAJIKA

TUMEONA namna ligi ya vijana ambavyo imekuwa na ushindani mkubwa huku baadhi ya timu zikikwama kufika hata nusu fainali. Hili ni somo kubwa hasa kwenye uwekezaji wa soka letu la ndani kule ambako tunahitaji kuelekea kwa kuwa ni muhimu kuwa na nguvu kwenye soka la vijana. Ikiwa ligi ya vijana haitakuwa na uwekezaji mkubwa inamaanisha…

Read More

SIMBA KAZI IMEANZA, KAMBI ULAYA

MASTAA wa Simba tayari wameripoti kambini ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuanza Agosti. Msimu wa 2022/23 Simba imegotea nafasi ya pili kwenye ligi huku vinara wakiwa ni Yanga. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi wakiwaacha kwa tofauti ya pointi tano watanitano watani zao wa jadi. Ni pointi…

Read More

YANGA HAO MALAWI KUSEPA NA NDEGE MAALUMU

ALLY Kamwe Ofisa Habari wa Yanga amesema wamepata mualiko maalumu kutoka Malawi jambo ambalo ni heshima na wanalichukua kwa mikono miwili. Kamwe ameweka wazi kuwa watacheza mchezo maalumu kwenye maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Malawi Julai 6, 2023 ikiwa ni mualiko maalumu kutoka Malawi hivyo Yanga watakuwepo huko. Kamwe amesema:”Ni heshima kubwa sana…

Read More

NGAO YA JAMII KUPIGWA TANGA

RAIS wa Shirikisho la Mpirawa Miguu Tanzania, (TFF) Wallace Karia amesema shindano la Ngao ya Jamii ambalo linategemea kuhusisha timu 4 ambazo ni Simba, Yanga, Azam na Singida Fountain Gate litafanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Karia amesema: “Kwenye Ngao ya Jamii ambayo msimu huu zitachezwa mechi tatu, mbili za Nusu Fainali na moja ya Fainali,…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE WAPEWA M 50 NA SportPesa

KAMPUNI ya kubashiri ya SportPesa leo Juni 3 imekabidhi hundi ya shilingi milioni 50 kwa Klabu ya Singida Fountain Gate FC ambayo zamani ilikuwa inaitwa Singida Big Stars. Hiyo yote ni baada ya kukamilisha msimu ikiwa nafasi ya nne katika NBC Premier League msimu wa 2022/23. Katika hafla hiyo iliyofanyika makao makuu ya kampuni hiyo…

Read More

CHUMA CHA AZAM KIMETUA BONGO

CHUMA cha pili kusajiliwa ndani ya Azam FC kimeweka wazi kuwa kimekuja Bongo kufanya kazi. Tayari amewasili Bongo na kukamilisha taratibu za mwisho kwenye suala la kusaini dili jipya na timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani. Imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo na vinara wakiwa ni Yanga msimu wa 2022/23….

Read More