
MAUA YA MKWAKWANI YAMWAGIWE KIRUMBA, ALI HASSAN MWINYI
WAKATI Uwanja wa Mkapa ukiwa katika matengenezo makubwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefanya juhudi kubwa kuhakikisha ratiba za mchezo wa soka katika ngazi ya juu kabisa zinaendelea. Ratiba hizo ni zile za kuanza kwa msimu mpya wa 2023/24 na safari hii zilikuwa ni kuanzia mechi za Ngao ya Jamii. Ngao hiyo safari hii ilibadilika,…