
SIMBA SC BADO IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJENGA KIKOSI
SIMBA SC iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC 2024/25 bado ipo kwenye mchakato wa kuendelea kujenga kikosi. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 ndani ya ligi namba nne kwa ubora bingwa ni Yanga SC akitwaa taji la 31 chini ya kocha Miloud Hamdi ambaye hatakuwa katika kikosi hicho…