SIMBA SC BADO IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJENGA KIKOSI

SIMBA SC iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC 2024/25 bado ipo kwenye mchakato wa kuendelea kujenga kikosi. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 ndani ya ligi namba nne kwa ubora bingwa ni Yanga SC akitwaa taji la 31 chini ya kocha Miloud Hamdi ambaye hatakuwa katika kikosi hicho…

Read More

YANGA SC YAMALIZANA NA BEKI WA KAZI

INAELEZWA kuwa Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 likiwa ni taji lao la 31 wamekamilisha usajili wa staa wa kimataifa wa Guinea, Balla Moussa Conte Conte ni staa wa kimataifa wa Guinea ambaye anakipiga kwenye Klabu ya CS Sfaxien ya Tunisia. Taarifa zinaeleza kuwa Yanga SC ndiyo ilikuwa timu ya…

Read More

THANK YOU SIMBA SC ZIMEPITA KWA MIAMBA HAWA MAZIMA

THANK You ndani ya kikosi cha Simba SC zinaendelea ambapo kuna mastaa ambao wamekutana nazo na wengine walianza wao kutoa hivyo hawatakuwa ndani ya timu hiyo kwa msimu wa 2025/26. Ni Fabrince Ngoma kiungo wa kazi alikuwa wa kwanza kutoa Thank You ambapo alibainisha kuwa walifanya kazi kwa ushirikiano ndani ya kikosi hicho licha ya…

Read More

PACOME KUONGEZA MKATABA YANGA SC

KIUNGO wa Yanga SC Pacome Zouzoua ambaye mkononi ana tuzo ya mchezaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC msimu wa 2024/25 ndani ya Juni 2025 anatajwa kuwa atasalia ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2025/25. Pacome alikuwa kwenye mwendo bora ndani ya uwanja msimu uliopita akiwa ni chaguo la kwanza…

Read More

FAINALI YA NDOTO: CHELSEA NA PSG KUIWEKA BIZE DUNIA LEO USIKU

Ilianza kama ndoto ya mbali. Wiki kadhaa zilizopita, Chelsea walikuwa wakijaribu kutengeneza mwelekeo mpya, huku PSG wakisaka uthibitisho wa ubabe wao duniani. Sasa, usiku wa leo, ndoto hizo mbili zitagongana uwanjani kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, mchezo mmoja wa mwisho wa kuamua nani anabeba historia, na nani anabaki na “tulipambana sana.” Ni…

Read More

TANZANIA INAHESABU ZA UBINGWA WA CHAN

KUELEKA CHAN 2024, wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wapo nchini Misri kwa kambi maalumu huku hesabu kubwa ikiwa ni kupata matokeo kwenye mechi zijazo za ushindani na kutwaa ubingwa kwa kupata matokeo chanya katika uwanja. Dickson Job ambaye ni beki mwenye uwezo wa kupiga pasi ndefu na fupi ni miongoni mwa…

Read More

ELLIE MPANZU KUONDOKA SIMBA SC? TIMU HII YATAJWA

WINGA wa Simba SC, Ellie Mpanzu anatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji ambao wataondoka ndani ya kikosi cha Simba SC kutokana na ofa ambazo zipo mezani. Inaelezwa kuwa Klabu ya RS Berkane Waarabu wa Morocco wamekubali uwezo wa nyota huyo katika anga la kitaifa na kimataifa jambo linalotajwa kuwaleta Tanzania kufanya mazungumzo na Simba SC. Mpanzu…

Read More

PANGA KUBWA MSIMBAZI, MAJINA SITA YAVUJA!

Klabu ya Simba imeanza rasmi mpango wa kusuka upya kikosi chake kwa msimu ujao kwa kufanya mabadiliko makubwa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Kocha Mkuu Fadlu Davids na uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanarejea kwenye ubora wa juu kitaifa na kimataifa. Kwa mujibu wa taarifa zilizovuja kutoka ndani ya klabu hiyo, tayari wachezaji sita…

Read More

CÉLESTIN ECUA AJIUNGA NA YANGA SC KUTOKA ZOMAN FC

Uongozi wa mchezaji wa kimataifa Célestin Ecua umetangaza rasmi kuwa kiungo huyo sasa ni mchezaji halali wa klabu ya Yanga SC ya Tanzania, akitokea Zoman FC. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ecua alisaini mkataba na Yanga takriban wiki tatu zilizopita, kama ilivyoripotiwa awali, na sasa mipango yote imekamilika rasmi. “Ni kweli. Célestin alisaini mkataba na…

Read More