
AMEPEWA ONYO NYOTA WA SIMBA
AMEPEWA onyo nyota wa Simba na benchi la ufundi ambalo lipo chini ya Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha kuhusu kazi na nidhamu kwenye kikosi hicho ambacho kimegotea nafasi ya pili kwenye Mapinduzi 2024 kwa kushuhudia ubao ukisoma Mlandege 1-0 Simba.