MWAMBA HUYU NI MNYAMA

 MWAMBA Ladack Chasambi ambaye ni kiungo ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba ikiwa ni ingizo jipya. Timu hiyo ya Simba chini ya Abdelhackh Benchika inatarajiwa kucheza mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Jamhuri kwenye Kombe la Mapinduzi leo Januari 8 2024. Ikiwa itapoteza kwenye mchezo wa leo itafungashiwa virago na kugotea mwisho kwenye…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE YATUMA UJUMBE HUU AZAM FC

NIZAR Khalfan, kocha msaidizi wa Singida Fountain Gate ameweka wazi kuwa hawatakubali kupoteza kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya Azam FC, unaotarajiwa kuchezwa leo Januari 8 2024. Ikumbukwe kwamba mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo ilikuwa ni robo fainali kwa wababe hawa wanaokutana kwa mara nyingine ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Azam…

Read More

Mchezo wa Kasino Mafia Clash, Kutana na Mwamba Anayelipa Zaidi

Tunakuletea mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye mizunguko ya mara nyingi. Furahia sherehe ya kipekee. Mafia Clash ni mchezo wa kasino ya mtandaoni inaotoa bonasi kibao kwa wachezaji, sloti hii imetengenezwa Hacksaw Gaming. Mchezo huu kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni una thamani inayoweza…

Read More

MUDA WA KAZI KWA TAIFA STARS NI SASA

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa sasa ipo kambini ikiwa ni maandalizi ya mwisho kwa ajili ya AFCON 2023 inayotarajiwa kufanyika Ivory Coast. Hii sio kazi rahisi kwa wachezaji kwa kuwa kila timu inahitaji matokeo ndani ya uwanja katika dakika 90. Kila mchezaji anajukumu la kuhakikisha kwamba anapambania kombe na kufanya vizuri kila akipata…

Read More

MBWANA SAMATTA: MISRI NI WAPINZANI WAZURI

MBWANA Samatta nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa mchezo wao dhidi ya timu ya taifa ya Misri ni kipimo tosha katika kuelekea mashindano ya AFCON 2023. Ikumbukwe kwamba Januari 7 2024 timu ya taifa ya Tanzania ilicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri baada ya dakika 90 ubao ulisoma, Tanzania…

Read More

KIKOSI CHA TAIFA STARS AFCON 2023

HII hapa orodha ya kikosi cha mwisho cha wachezaji 27 cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) 1. Kwesi Zion Kawawa 2. Haji Mnonga 3. Mudathir 4. Bacca 5. Dickson Job 6. Feisal Salum 7. Himid Mao 8. Morice Abraham 9. Cyprian Kachele…

Read More

Kuwa Milionea Leo Hii na Mechi Hizi za FA

Ikiwa leo hii ni JUmapili tulivu kabisa, mechi za kombe la FA Uingereza linataka kukupa pesa endapo utabshiri na meridianbet kwnai huku kuna machaguo mengi sana ambayo unaweza ukachagua na yakakupatia mkwanja mnono. Ushindwe wewe tuu kujibweda. Mechi kubwa leo hii ni ile inayowakutanisha kati ya Arsenal dhidi ya Liverpool yani ni kivumbi na jasho….

Read More

SIMBA NA HESABU ZAO HIVI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kufanya vizuri kwenye mechi zote ambazo watacheza. Kwa sasa Simba inashiriki Kombe la Mapinduzi ambapo imetinga hatua ya robo fainali ikivunja rekodi yake mbovu ya kukwama kufika katika hatua hiyo 2023. Ni mchezo dhidi ya Jamhuri itakuwa…

Read More

MAJEMBE HAYA YANAKUJA SIMBA, YANGA

USAJILI wa dirisha dog unaendelea ambapo kila timu ipo sokoni kusaka wachezaji ambao inawahitaji kumalizana nao kwa ajili ya kuwa ndani ya timu kwa msimu wa 2023/24 ambao una ushindani mkali. Kama mambo yatakuwa sawa miongoni mwa nyota wanaotajwa kuibukia mitaa ya Kariakoo ni pamoja na Simon Msuva, Edwin Balua.

Read More

OKRA KAMILI GADO, KUANZIA HAPA

BAADA ya kupata maumivu kwenye mchezo wake wa kwanza akiwa na uzi wa Yanga, hali yake kwa sasa inaendelea vizuri kwa Augustine Okra akitarajiwa kuwa kwenye kikosi cha nusu fainali  ama fainali kama watafika lakini atakosekana leo Januari 7. Okra ambaye ni ingizo jipya alipata maumivu kwenye mchezo wake wa kwanza ilikuwa dhidi ya KVZ…

Read More

SIMBA YASHUSHA JEMBE JINGINE

RASMI Januari 6 2024 Simba imemtambulisha nyota mwingine mpya ambaye ni kiungo katika eneo la ukabaji. Nyota huyo ni kutoka Senegal anaitwa Babacar Sarr ametua ndani ya Simba ikiwa ni ingizo jipya katika dirisha dogo. Anakuwa nyota wa pili kutambulishwa baada ya kiungo Saleh Karabaka kutoka JKU kuwa wa kwanza kutambulishwa katika dirisha dogo ilikuwa…

Read More

ANZA MWAKA KIBABE PATA MAOKOTO LEO NA MERIDIANBET

Kupitia michuano ya kombe la FA nchini Uingereza leo maokoto yatakua nje nje kwani itakwenda kupigwa michezo mbalimbali itakayopigwa katika viwanja tofauti tofauti ambayo itatoa fursa ya kuokota na Meridianbet. Michezo yote ambayo itakwenda kupigwa leo imepewa ODDS KUBWA na za kibabe ambapo ni fursa kwa mteja wa Meridianbet kuweza kudungua mwaka wake kibabe kabisa….

Read More