HIVI NDIVYO YANGA ILIVYOIFUNIKA SIMBA
MUUNGANO wa nyota watatu ndani ya kikosi cha Yanga ambao ni Pacome Zouzoah, Aziz KI na Maxi Nzengeli ni dawa tatu ndani ya kikosi hicho kutokana na dozi ambazo wanatoa kwa wapinzani wao. Mastaa hao watatu wamehusika kwenye mabao 18 kati ya 26 yaliyofungwa na timu hiyo baada ya kucheza mechi 9 ambazo ni sawa…