
MTAMBO WA MABAO WATAMBULISHWA SIMBA
WAKIWA kwenye maboresho ya kikosi kuelekea msimu wa 2024/25 wamemtambulisha nyota mwingine ambaye ni mtambo wa mabao. Ni Simba iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo msimu wa 2023/24 kwa sasa inafanya maboresho ambapo kwenye eneo la kiungo ipo wazi haitakuwa na Clatous Chama ambaye kaibukia ndani ya Yanga. Mchezaji mpya ambaye ametambulishwa Julai 5 ndani…