
VIDEO: LIVE ISHU YA YANGA NA SAKATA LA UONGOZI WA MADARAKANI
UONGOZI wa Yanga umefungukia ishu ya sakata la kesi yao mahakamani pamoja na mpango kazi kuhusu mzee Magoma huku wakibainisha kwamba kila kitu kipo sawa kwa sasa na uongozi bado una mamlaka ya kuendelea na kazi kupitia kwa Mwanasheria Patric Saimon huku wakibainisha kuwa kuna masuala ambayo hayazuiliwi kusikilizwa kwenye Mahakama yanayouhusu mpira ikiwa ni…