
MASHUJAA FC SIO KINYONGE KUIKABILI SIMBA SC
BENCHI la ufundi la Mashujaa FC limebainisha kuwa limefanya maandalizi mazuri kuelekea mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Simba SC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex saa 10:00 jioni. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-1 Simba, Steven Mukwala…