
WATATU SIMBA KUIKOSA BIASHARA UNITED LEO KWA MKAPA
NYOTA watatu wa kikosi cha kwanza cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo wa ligi. Simba ikiwa nafasi ya tatu inatarajiwa kumenyana na Biashara United Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa ligi wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku. Kwa mujibu wa Pablo ni Aishi Manula ambaye…