WATATU SIMBA KUIKOSA BIASHARA UNITED LEO KWA MKAPA

NYOTA watatu wa kikosi cha kwanza cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo wa ligi. Simba ikiwa nafasi ya tatu inatarajiwa kumenyana na Biashara United Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa ligi wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku. Kwa mujibu wa Pablo ni Aishi Manula ambaye…

Read More

MASAA 48 YATENGWA NA KOCHA SIMBA KUSUKA KIKOSI

PABLO Franco Kocha Mkuu wa Simba ametenga siku mbili sawa na saa 48 za vijana wake kupata ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United ambao unatarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba Machi Mosi 2022 kikosi cha Simba kiliweza kurejea nchini baada ya kuwa Morocco kwenye mechi ya kimataifa na…

Read More

JACKPOT YA SPORTPESA MPYA MKWANJA MREFU KINOMANOMA KWA BUKU MBILI TU

KAMPUNI kubwa ya michezo ya kubashiri (betting) ya SportPesa, imetangaza ‘Jackpot’ mpya ambapo sasa mshindi anaweza kujishindia mpaka shilingi 985,669,400/- kwa dau la shilingi 2000 pekee. Akitangaza kuzinduliwa kwa Jackpot hiyo, Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti wa SportPesa, Abbas Tarimba, amesema Jackpot hiyo ni endelevu na mpaka sasa hakuna kampuni yoyote ya ‘betting’ nchini inayotoa…

Read More

TANZANIA PRISONS BADO WAPO PALEPALE

LICHA ya kupata pointi moja mbele ya Mtibwa Sugar bado Tanzania Prisons inabaki palepale ilipokuwa nafasi ya 16 baada ya kucheza mechi 17. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Sokoine ulisoma Prisons 0-0 Mtibwa Sugar. Mtibwa Sugar pia inafikisha pointi 16 katika msimamo ipo nafasi ya 12 na imecheza mechi 17. Prisons…

Read More

MSHAMBULIAJI WA SIMBA AKUBALI UWEZO WA MAYELE,AMPA TUZO

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba ambaye hivi sasa anacheza Kagera Sugar, Mganda, Hamis Kiiza ‘Diego’amesema kuwa Fiston Mayele mshambuliaji wa Yanga ana uwezo mkubwa wa kucheza na kufunga. Kiiza aliyewahi kuichezea Yanga kabla ya kwenda Simba, alitoa kauli hiyo mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Februari 27,2022….

Read More

ABRAMOVICH ATHIBITISHA KUIWEKA SOKONI CHELSEA

ROMAN Abramovich usiku wa Jumatano kwa hisia amethibitisha kwamba yupo kwenye mpango wa kuiuza timu hiyo. Abramovich ameamua kuuvunja ukimya baada ya taarifa kuwa nyingi zikieeleza kwamba tayari timu hiyo ipo sokoni. MailOnline mapema Jumatano iliripoti kwamba Chelsea imewekwa sokoni na kiasi ambacho kilikuwa kinahitajika ni Euro bilioni 3. Abramovich usiku uliopita amesema:”Nimeamua kuchukua maamuzi…

Read More

KAPOMBE APEWA TUZO YA MCHEZAJI BORA

BEKI wa kazi chafu, mzawa Shomari Kapombe anayekipiga ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco pamoja na msaidizi wake Seleman Matola ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki kwa mwezi Februari. Kapombe ametwaa tuzo hiyo kwa kuwashinda wenzake wawili ambao aliingia nao fainali katika kuwania tuzo hiyo. Beki wa kati Henock Inonga…

Read More

NABI:CHICO MTAMUELEWA TU,ATAFANYA KAZI VIZURI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wale wanaosema kuhusu mchezaji wao mpya Chico Ushindi watamuelewa tu kwa sababu hakusajiliwa kwa makosa. Chico ambaye ni ingizo jipya kwenye dirisha dogo mechi mbili za ligi amecheza na kutumia dakika 19.  Nabi amesema kuwa anasikia wengi wanazungumza kuhusu uwezo wa Chico na kwa nini hachezi hilo…

Read More

RATIBA YA SIMBA MACHI NI BALAA

BAADA ya wawakilishi wa Tanzania kimataifa Simba kurejea salama Dar wakitokea Morocco wana vigongo vya moto ndani ya Machi kutimiza majukumu ya kusaka ushindi. Ikumbukwe kwamba Februari 27 walinyooshwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane ya Morocco katika mchezo wa kundi D kituo kinachofuata ni dhidi ya Biashara United. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kuchezwa…

Read More