SAIDO AJISIKITIKIA MWENYEWE YANGA

SAID Ntibanzokiza, ‘Saido’mambo yake yalikuwa magumu mbele ya Biashara United kwa kushindwa kumtungua kipa namba moja wa Biashara United, James Ssetuba jambo lililofanya kila muda awe anajisikitia anapokosa nafasi. Juzi wakati Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Biashara United na mabao ya Yanga yalifungwa na…

Read More

VIDEO:TAMBO ZA MASHABIKI WA SIMBA,WAIOMBA RADHI RUVU SHOOTING

MASHABIKI wa Simba wameweka wazi kwamba ushindi ambao wameupata wa mabao 7-0 dhidi ya Ruvu Shooting wanajua kwamba kuna maombolezo na wote wanaombeleza lakini kwenye mpira Simba wakiwa wanataka kitu lazima kikamilike hivyo wanaomba radhi kwa yaliyotokea. Ushindi wa mabao 7 Uwanja wa Mkapa unaifanya Simba kutinga hatua ya robo fainali inaungana na Yanga,Pamba,Polisi Tanzania,Azam…

Read More

KIUNGO TEPSI EVANS WA AZAM FC NI NAMBA MOJA

KIUNGO wa Azam FC, Tepsi Evance amemfunika nyota wa Namungo FC, Obrey Chirwa kwa vitendo katika suala la kutoa pasi za mwisho ndani ya ligi huku akiingia kwenye anga za Clatous Chama ambaye anatetea tuzo yake ya kiungo bora. Chirwa ana pasi tatu za mabao pia anashikilia rekodi ya kutoa pasi zaidi ya moja kwenye…

Read More

SIMBA YASHINDA MBELE YA RUVU SHOOTING 7-0

UWANJA wa Mkapa Simba imeshinda mbele ya Ruvu Shooting kwa kutupia mabao 7-0. Kipindi cha kwanza Simba walitupia mabao matano ilikuwa kupitia John Bocco na Clatous Chama ambao walitupia mabao mawilimawili na bao moja ilikuwa ni la kujifunga kwa Michael Masinda ilikuwa dakika ya 44. Kipindi cha pili Ruvu Shooting walifanya mabadiliko kwa kumtoa kipa…

Read More

BAO LA SAKHO LACHAGULIWA KUWA BORA KIMATAIFA

BAO la kiungo mshambuliaji wa Simba, Pape Sakho limechaguliwa kuwa bao bora la wiki katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Kiungo huyo alipachika bao hilo Februari 13,2022 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ni kwa mtindo wa Acrobatic. Alipachika bao hilo la ufunguzi katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi dhidi ya…

Read More

AZAM FC:UWANJA WA KARUME UNA HALI MBAYA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Karume, Mara huku tatizo kubwa likitajwa kuwa ni ubora wa uwanja. Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa tatizo kubwa waliloliona kwa sasa ni Uwanja wa…

Read More

MASTAA SITA WA SIMBA KUIKOSA RUVU SHOOTING

MASTAA sita wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ikiwa ni pamoja na Sadio Kanoute, Pape Sakho leo Februari 16 wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 16 bora Uwanja wa Mkapa. Kanoute na Sakho waliumia kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas ambao ulikuwa ni wa Kombe la Shirikisho na Simba iliibuka…

Read More

TWAHA ASAINI DILI LA KUPANDA ULINGONI KUZICHAPA

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Twaha Kiduku Jumanne ya Februari 15 amesaini mkataba wa kupanda ulingoni kuzichapa dhidi ya Alex Kabangu kutoka DR Congo katika pambano litakalopigwa Machi 26, mwaka huu katika Ukumbi ambao utapangwa mkoani hapa. Kiduku atapanda ulingoni kwenye pambano hilo la kimataifa baada ya kumchakaza Dullah Mbabe Agosti mwaka jana katika…

Read More

FT: YANGA 2-1 BIASHARA UNITED

BAADA ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Kombe la Shirikisho umesoma Yanga 2-1 Biashara United. Mabao yote yamefungwa kipindi cha kwanza katika mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. Ni Yannick Bangala alianza kupachika bao la kuongoza na bao la pili likafungwa na Fiston Mayele. Kwa upande wa Biashara…

Read More

YANGA 2-1 BIASHARA UNITED

MCHEZO wa Kombe la Shirikisho unaoendelea Uwanja wa Mkapa Yanga ipo mbele kwa mabao 2-1 dhidi ya Biashara United. Ni Yannick Bangala alipachika bao la kuongoza na lile la pili lilipachikwa na Fiston Mayele. Collins Opare alipachika bao kwa Biashara United wanajeshi wa mpakani.

Read More

WIKI BOMBA UCL NA USHINDI WA MERIDIANBET

Wiki hii inakuwa tamu zaidi kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Mbappe akiwa anakutana na klabu yake pendwa anayo husishwa nayo zaidi ya Real Madrid. Meridianet wana mzigo wako kwenye gemu hii. Messi atakuwa akitazamwa zaidi kwenye gemu hii, ambayo kutokana na muda wake na Barcelona ni kama amekuwa na upinzani wa kudumu na Real Madrid…

Read More