KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA RUVU
PABLO Franco, leo Novemba 19 anatarajiwa kutupa kete yake ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara na jeshi lake linatarajiwa kuwa namna hii:- Aishi Manula. Shomari Kapombe. Mohamed Hussein Joash Onyango Pascal Wawa Jonas Mkude Hassan Dilunga Mzamiru Yassin Meddie Kagere Kibu Dennis Morison Bernard