KHALID AUCHO KUIKOSA NAMUNGO KESHO

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho ni miongoni mwa wachezaji ambao wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Namungo FC. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Sababu kubwa ya nyotahuyo kukosa mchezo huo ni majeraha ambayo aliyapata kwenye mguu wa kulia…

Read More

GADIEL MICHAEL:TUNAWAHESHIMU RUVU SHOOTING,TUPO TAYARI

BEKI wa Simba, Gadiel Michael amesema kuwa kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidiya Ruvu Shooting kutakuwa na mabadiliko kwa kuwa wachezaji wapo tayari licha ya ushindani kuwa mkubwa. Gadiel bado hajacheza ndani ya msimu wa 2021/22 kwa sasa katika mechi tano na nafas yake amekuwa akianza nyota Mohamed Hussein ambaye ni chaguo…

Read More

POLISI TANZANIA V COASTAL UNION NI LEO

MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Bara,Vitalis Mayanga akiwa na mabao manne ametuma ujumbe kwa Coastal Union kuwa wanahitaji pointi tatu. Timu hizo zinatarajiwa kukutana leo Novemba 19 katika Uwanja wa Ushirika,Moshi mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mayanga amesema kuwa mechi zao zote ambazo watacheza wanahitaji ushindi ili waweze kufikia malengo…

Read More

DIARRA KUMPA CHANGAMOTO AISHI MANULA

MILTON Nienov aliyekuwa kocha wa makipa ndani ya Simba ameweka wazi kuwa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula atapata changamoto kubwa kutoka kwa kipa wa Yanga,Diarra Djigui. Nienov kwa sasa ameshachimbishwa ndani ya Simba ilikuwa ni Septemba 26 kwa kile kilichoelezwa ni makubaliano ya pande zote mbili. Nienov aliweka wazi kwamba anatambua ubora wa…

Read More

EPL, SERIE A, BUNDESLIGA NA LA LIGA KUENDELEA WIKIENDI HII

Baadhi ya mataifa yameshajihakikishia kucheza Kombe la Dunia mwakani. Wengine, wataendelea kujitafuta mwezi Machi mwakani. Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii, karata ya ushindi inapatikana Meridianbet! Mkeka wako wikiendi hii, upambe kwa namna hii; Augsburg kuwaalika Bayern Munich katika muendelezo wa Bundesliga Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazalisha magoli ya kutosha. Lolote linaweza…

Read More

AJIBU AONDOLEWA KIKOSINI SIMBA NA MUGALU

NYOTA wawili wa kikosi cha Simba Ibrahim Ajibu na Chris Mgalu wameondolewa kwenye kikosi hicho kinachojiaandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Leo Novemba 19, Pablo Franco anatarajia kukiongoza kikosi hicho kwenye mchezo dhidi ya Ruvu Shooting unaotarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni, Uwanja wa CCM Kirumba. Sababu za nyota hao kuondolewa…

Read More

NYOTA HAWA WATANO WA YANGA KUIKOSA NAMUNGO

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga kwa sasa wapo ndani ya Ilulu, Lindi kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho, Novemba 20, Uwanja wa Ilulu na itakuwa ni mara ya kwanza kwa Yanga kukutana na Namungo kwenye uwanja huo…

Read More

CHEKA, ALKASASU KUPASUANA USIKU WA MISHINDO

MABONDIA wa ngumi za kulipwa nchini,  Muksini Swalehe ‘Alkasusu’ na Cosmas Cheka wanatarajia kupanda ulingoni  Desemba 3, mwaka huu katika pambano la usiku wa mishindo ambalo limepangwa kupigwa kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar.   Pambano hilo limetambulishwa leo kwenye mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika  kwenye Hoteli ya Atriums ambalo litashirikisha mabondia wengi, limeandaliwa…

Read More

MAKIPA PONGEZI MNASTAHILI,KAZI IINDELEE

KWENYE suala la kusaka ushindi uwanjani kuna wachezaji 11 ambao huwa wanapambana kwa ajili ya timu na ipo wazi ushindi unapatikana kwa ushirikiano wa kila mchezaji. Kwa habari ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kushindwa kupenya hatua ya mtoano wa Kombe la Dunia hiyo imeisha hakuna tutakachoweza kubadili zaidi ya maumivu. Tunajua kwamba…

Read More

MZEE WA KUCHETUA BM APIGWA ‘STOP’SIMBA

MZEE wa kuchetua ndani ya kikosi cha Simba, Bernard Morrison amepigwa ‘stop’ kucheza faulo za akiwa kwenye mazoezi kwa wachezaji wengine ili kuepusha maumivu yasiyokuwa na lazima. Novemba 16 kwenye mazoezi ya Simba yaliyofanyika Uwanja wa Boko Veteran, Morrison alikuwa ni miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye mazoezi hayo chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco,…

Read More

FOUNTAIN GATE:MWENDO WA CHAMPIONSHIP ACHA TU

KIUNGO wa Fountain Gate,Daud Rashid ameweka wazi kuwa moto wa Championship sio wa kitoto kwa kuwa kila timu inapambana kusaka pointi tatu uwanjani. Kwenye msimamo timu hiyo ipo nafasi ya 6 baada ya kucheza mechi 7 kibindoni ina pointi 12 huku vinara wakiwa ni DTB FC wenye pointi 17. Rashid amesema kuwa hakuna timu ya…

Read More

AUCHO NA DJUMA KUIWAHI NAMUNGO

KHALID Aucho kiungo msumbufu na mzee wa kazi ndani ya Yanga anatarajiwa kuungana na kikosi leo kwa ajili ya kuelekea Lindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo. Pia Djuma Shaban naye ambaye ni beki wa kupanda na shaka naye atajiunga na timu hiyo kuwafuata Namungo. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga,…

Read More

PABLO:TUNAKWENDA KUSAKA POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanakwenda Mwanza wakiwa wamejiandaa kushinda pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Leo kikosi cha Simba kimekwea pipa na kuibuka Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…

Read More