WATANO WA YANGA KUIKOSA KMC LEO KWA MKAPA

WAKATI leo Machi 19,2022 vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakiwa na mchezo dhidi ya KMC kuna nyota wake wa kikosi cha kwanza ambao wanatarajiwa kuukosa mchezo huo. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na utakuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kupiga hesabu ya kusepa na pointi tatu muhimu. Miongoni mwa wachezaji…

Read More

SIMBA WAANZA MATIZI BENIN

BAADA ya kuwasili leo Benin kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya ASEC Mimosas, kikosi cha Simba kimeanza mazoezi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Machi 20,2022 ni wa hatua ya makundi, Simba ikiwa na pointi 7 huku ASEC 6 ndani ya kundi D. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…

Read More

KMC YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA YANGA

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kwamba hakuna kitakachowazuia kupata matokeo mbele ya Yanga katika mchezo wao wa ligi unaoatarajiwa kuchezwa Machi 19, Uwanja wa Mkapa. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa hakuna kitakachowazuia kupata matokeo mbele ya Yanga. Christina amebainisha kwamba kupoteza mchezo wao mbele ya Coastal Union kumewapa…

Read More

HESABU ZA YANGA KWA KMC ZIPO NAMNA HII

NJE ya uwanja, tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi amewamaliza wapinzani wake, KMC wenye maskani yao Kinondoni, Dar es Salaam. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana kesho Jumamosi saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara raundi ya 18. Katika mchezo huo, Yanga itaingia uwanjani ikitaka kuendeleza rekodi…

Read More

JEMBE LILILOWATULIZA WAARABU KWA SIMBA LATAJWA

BAADA ya kupata pointi tatu za nyumbani, uongozi wa Simba umeibuka na kumtaja kiungo wao mkabaji Jonas Mkude ndiye aliyekuwa kikwazo kwa wapinzani wao RS Berkane ya nchini Morocco. Simba ilifanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Berkane katika mchezo wa nne wa Kundi D, uliopigwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Mkapa. Bao la…

Read More

WATATU WAREJEA YANGA KUIVAA KMC KWA MKAPA KESHO

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanajua kwamba mchezo wao dhidi ya KMC hautakuwa rahisi kesho Uwanja wa Mkapa Jumamosi huku baadhi ya wachezaji wakiwa wameanza kurejea. Ikiwa nafasi ya kwanza na pointi 45 inakutana na KMC iliyo nafasi ya 7 na pointi 22 zote zikiwa zimecheza mechi 17. Kaze amesema:-“Chico ushindi, Farid…

Read More

SIMBA WAKWEA PIPA KUWAFUATA ASEC

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa Simba leo Machi 18 wamekwea pipa kuwafuata wapinzani wao RS Berkane kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho. Ni leo alfajiri kimeanza safari kwa ajili ya kwenda Benin kuikabili ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa marudiano ambao unatarajiwa kuchezwa Jumapili, Machi 20,2022. Simba itafikia Hotel ya…

Read More

BURUDANI YA WIKIENDI IPO KWENYE LALIGA, NYASI ZITAUMIA!

Msimu wa 2021/22 unaendelea kushika kasi. Wikiendi hii ni EPL, LaLiga, Ligue 1, FA Cup na Copa Diego Maradona kutimua vumbi viwanjani. Hakika, zinazopata kashkash ni nyasi, Meridianbet tunakupa mipango tu… Wolverhampton Wanderers watakua uwanjani kuwaalika Leeds United katika muendeleazo wa EPL ijumaa hii. Kimahesabu, huu ndio ule wakati wakusema “kila mtu ashinde mechi zake”…

Read More

SIMBA KUKWEA PIA KUWAFUATA WAPINZANI WAO ASEC

IMEELEZWA kuwa kesho Ijumaa wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Simba wanatarajia kukwea pipa kueleka nchini Benini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumapili ya Machi 20,2022 ukiwa ni mchezo wa tano kwenye hatua ya makundi na unatarajiwa kuchezwa nchini Benin. Kwenye…

Read More

VIDEO:CHAMA,BANGALA,AUCHO KUCHEZA MECHI MOJA JUNI

CEDRICK Mkurugenzi wa Taasisi ya Voice Of Changes Tanzania ambayo ni Taasisi isiyo ya Kiserikali inayoleta fikira chanya imebainisha kwamba kuna mpango ulioandaliwa kwa muda kwa kushirikiana na Chama cha Mpira Dar, (DRFA) wameandaa mchezo maalumu ambao utawakutanisha wachezaji wa kigeni dhidi ya wale wa ndani Uwanja wa Mkapa mara baada ya ligi kumalizika na…

Read More

BAO LA SAKHO LACHAGULIWA KUWA BAO BORA LA WIKI

PAPE Sakho kiungo mshambuliaji wa Simba bao alilowatungua RS Berkane limechaguliwa kuwa bao bora la wiki katika mashindano ya Kombe la Shirikisho. Pape alipachika bao hilo Uwanja wa Mkapa, Machi 13 wakati Simba ikivuna pointi tatu mazima. Ilikuwa dakika ya 44 Sakho alifanya hivyo baada ya kupokea pasi kutoka kwa Meddie Kagere. Kabla ya kufunga…

Read More

AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO 2-1,DUBE ATUPIA

AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unemalizwa ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza baada ya mabao matatu kufungwa. Namungo FC walianza kutupia bao la kuongoza dakika ya 2 kupitia kwa Mohamed Issa likasawazishwa na Prince Dube dk ya 22….

Read More

YANGA YAKUSANYA MILIONI 41

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupitia mchezo wa Hisani kati ya Yanga v Timu ya Taifa ya Somalia ni milioni 41 zimekusanywa. Yanga ilicheza mchezo wa kirafiki wa hisani ilikuwa dhidi ya Timu ya Taifa ya Somalia ulichezwa Uwanja wa Azam Complex. Manara amesema:”Mchezo uliochezwa Jumamosi iliyopita kwa ajili ya kuchangia taasisi…

Read More