
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MATHIAS Lule, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema malengo ni kuona kikosi hicho kinamaliza ndani ya tano bora kwa msimu huu wa 2021/22. Ni mechi sita imeshinda kati ya 21 ambazo imecheza kwa msimu huu ndani ya ligi ambao umekuwa na ushindani mkubwa. Imekusanya pointi 28 ipo nafasi ya 5 huku kinara akiwa ni Yanga…
ISSA Azam shabiki wa Simba amesema kuwa Yanga imekata upepo na wameshindwa kuifunga Simba kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa,baada ya dakika 90 ubao kusoma Yanga 0-0 Simba na kuwafanya watani hao wa jadi kugawana pointi mojamoja
MZEE wa Utopolo shabiki wa Yanga kutoka Iringa mkazi wa Majohe amebainisha kuwa kugawana pointi mojamoja na watani zao wa jadi Simba maana yake ni kwamba tabu ipo palepale kwa kuwa wamewazidi kwa pointi zilezile ambazo walikuwa wamewazidi awali. Jumla ya pointi 55 wamefikisha Yanga baada ya kucheza mechi 21 huku Simba ikiwa na pointi…
SHABIKI wa Simba,mzee wa ndani Kisugu ametuma ujumbe kwa watani zao wa jadi Yanga kwa kueleza kuwa watakutana nao kwenye mchezo wa nusu Fainali Kombe la FA
SHABIKI wa Yanga amebainisha kwamba beki wa Simba, Henock Inonga amebahatisha kumkaba mshambuliaji wa timu hiyo Fiston Mayele kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa Mkapa,Aprili 30 wakati timu hizo zilipotoshana nguvu ya bila kufungana kwenye mchezo wa ligi.
ZILE tambo za watani wa jadi Yanga na Simba zimekamilika Uwanja wa Mkapa kwa wababe hao kutoshana nguvu bila kufungana. Aprili 30, 2022 mwamuzi Ramadhan Kayoko alikamilisha dk 90 bila ubao kusoma mabao kwa kuwa ilikuwa ni Yanga 0-0 Simba. Sare hiyo ilitawaliwa na matukio ya ubabe mwanzo mwisho ambapo Simba walianza kwa kasi dakika…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa Mkapa kwa ubao kusoma Yanga 0-0 Simba. Ulikuwa ni mchezo mkali wa mzunguko wa pili na kufanya dk 180 kukamilika bila kufungana. Ule wa awali,ubao ulisoma Simba 0-0 Yanga hivyo katika msako wa pointi 6 wamegawana pointi mbilimbili. Mwamuzi wa kati Ramadhan Kayoko alionekana kuwa na presha mwanzo kabla ya…
KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa leo kati ya Yanga v Simba, vinara wa Ligi Kuu Bara, wametaja idadi ya mabao ambayo wanaamini watashinda. Vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 54 na wamecheza mechi 20 wanafuatiwa na Simba ambao ni mabingwa watetezi wakiwa na pointi 41 baada ya kucheza mechi 19. Ni…
MAMBO mengi yana mwisho na leo inaweza kuwa hivyo kwa kuwa watani wa jadi Yanga na Simba wanatarajiwa kumaliza zile kelele za kitaa nani mkali. Ofisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli aliweza kufanya mahojiano maalumu na Global Radio kwenye kipindi cha Krosi Dongo aliweka wazi mipango yao namna hii:- “Kwenye mechi za misimu mitatu tulianza…
WINGA wa kimataifa wa Senegal anayecheza Simba, Pape Ousmane Sakho, amesema wala hana presha kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, huku akibainisha kwamba, anauchukulia mchezo huo kama mingine aliyowahi kucheza. Sakho ambaye amejiunga na Simba mwanzoni mwa msimu huu, amekuwa moja ya wachezaji bora ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango alichokionesha…
APRILI 30,2022 leo Uwanja wa Mkapa majira ya saa 11:00 jioni unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga v Simba. Huenda Pablo Franco, Kocha Mkuu wa Simba akapanga kete zake namna hii:- Aishi Manula Zimbwe Henock Inonga Joash Onyango Shomari Kapombe Pape Sakho Sadio Kanoute Jonas Mkude Clatous Chama Meddie Kagere Bernard…
DABI ya Kariakoo inasubiriwa kwa shauku kubwa ambapo kila timu inasaka pointi tatu muhimu. Huenda kikosi cha Yanga kikawa namna hii:- Diara Djigui Djuma Shaban Bakari Mwamnyeto Dickson Job Kibwana Shomari Yannick Bangala Farid Mussa Sure Boy Khalid Aucho Fiston Mayele Feisal Salum
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
LICHA ya kuweza kuongoza mpaka dakika ya 87,Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu, Felix Minziro imekwama kusepa na pointi tatu mazima. Ilikuwa ni kwenye mchezo dhidi ya Azam FC ambao ni wa ligi umechezwa leo Aprili 29,2022 Uwanja wa Nyankumbu. Ni mabao ya George Mpole dk ya 26 na anafikisha bao la 11 ndani ya…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wamewasisistiza wachezaji wote wa timu hiyo kuweza kucheza kwa umakini ili kupata matokeo chanya mbele ya Simba.