
SIKU YA 62 BILA KUFUNGWA KWA LUSAJO
NYOTA wa Namungo, Relliats Lusajo leo anafikisha siku ya 62 bila kufunga bao ndani ya mechi za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22. Nyota huyo mzawa alianza kwa kasi matata na aliweza kuwa namba moja kwa muda kwa watupiaji wa ligi alipofikisha mabao 10 kibindoni. Mara ya mwisho Lusajo kufunga ilikuwa ni Februari 21,2022…