BARBARA AWAPONGEZA WACHEZAJI WAKE

MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ameweka wazi kuwa Simba ipo imara na hesabu kubwa ni kutimiza malengo waliyojiwekea kutokana na wachezaji walionao kujituma. Kwa sasa Simba inapambana kuweza kutetea taji lake ililotwaa msimu uliopita wakivutana kwa kasi na vinara wa ligi ambao ni Yanga wenye pointi 23 huku Simba wakiwa nafasi ya pili na pointi 21. Barbara amesema kuwa wanazidi kufanya mambomazuri kwa ajili ya timu na kwa sasa…

Read More

YANGA YAINGILIA DILI LA BEKI SIMBA

IMEFICHUKA kuwa uongozi wa Klabu ya Yanga umeingilia dili la kumnasa nahodha wa Biashara United, Abulmajid Mangalo ambaye amekuwa akiwindwa kwa ukaribu na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba. Hivi karibuni, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, aliwasilisha ripoti ya usajili ambapo miongoni mwa maeneo ambayo amehitaji yafanyiwe maboreshio ni nafasi ya mlinzi wa kati akitaka beki kuja kuwapa changamoto, Dickson Job na Bakari Mwamnyeto. Mpaka sasa Mangalo amebakisha…

Read More

KIUNGO MBRAZILI KUPEWA MIKOBA YA LWANGA

IMEBAINIKA kuwa mabosi wa Simba wapo katika harakati za kumrudisha kiungo mkabaji Gerson Fraga raia waBrazil kwa ajili ya kuziba pengo la kiungo Taddeo Lwanga ambaye amekuwa na majeraha ya mara kwa mara Lwanga ameshindwa kuitumikia Simba katika ligi kuu mara baada ya kuumia katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Jwaneng Galaxy ambapo katika mchezo huo Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-1. Simba kwa sasa wamekuwa wakiwatumia…

Read More

WAWA AFUNGUKIA ISHU YAKE NA PABLO

PASCAL Wawa, beki wa kati wa Simba, ameweka wazi kuwa hakuna tofauti kati yake na Kocha Mkuu wa timu hiyo Pablo Franco. Juzi, Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ilitokea hali ya kutoelewana katika suala la kufanya mabadiliko ambapo Wawa alikuwa anajiandaa kuingia uwanjani akitokea benchi ghafla, Pablo alimvuta kwa nguvu kubwa na kuonekana akilalamika. Pia…

Read More

JEMBE LA SIMBA LAMALIZANA NA TIMU KONGWE

MSHAMBULIAJI Deo Kanda raia wa Congo amemalizana na timu kongwe ndani ya ardhi ya Tanzania, Mtibwa Sugar kwa ajili ya kutoa huduma kwenye kikosi hicho kwa msimu wa 2021/22. Ikumbukwe kwamba kabla ya Kanda kujiunga na Mtibwa Sugar amezitumikia TP Mazembe, Simba,Raja Casablanca,Vita Club AE Larisa na DC Motema Pembe. Pia alipokuwa ndani ya Simba…

Read More

PABLO HANA TATIZO NA PASCAL WAWA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kilichotokea kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KMC ni kutoelewana na mwamuzi. Jana Pablo akiwa benchi alionekana kumzuia Pascal Wawa asiweze kuingia kuendelea kutimiza majukumu yake. Kwenye mchezo huo ubao wa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ulisoma KMC 1-4 Simba na kuiwafanya mabingwa hao watetezi kusepa na…

Read More

METACHA MNATA ATAJWA KUIBUKIA YANGA

MLINDA mlango namba moja wa Klabu ya Polisi Tanzania, Metacha Mnata rasmi amevunja mkataba na aliyekuwa meneja wake Jemedari Said. Hili limekuja wakati huu ambapo Metacha anazungumzwa kuhitajika na Yanga ambao watakosa huduma ya kipa wao namba moja raia wa Mali Diarra ambaye anakwenda kujiunga na Timu yake ya Taifa katika michuano ya AFCON. Kwa…

Read More

REKODI ZA JEMBE JIPYA LA YANGA

REKODI za winga mpya wa Yanga, Chico Ushindi zinatisha jambo ambalo linaonesha ni kweli timuhiyo imepata jembe la maana ambalo litakuja kuongeza makali katika safu ya ushambuliaji ambayo kwa sasa inazidi kuwa kiwembe. Yanga tayari imekamilisha usajili wa mkopo wa winga huyo ambaye alikuwa anakipiga katika Klabu yaTP Mazembe ya nchini DR Congo. Katika mkataba huo, kuna kipengele cha nyota huyo anayetumia miguu yote kusakata kabumbu kujiungana Yanga moja kwa moja kama…

Read More

RASMI: SURE BOY ATAMBULISHWA YANGA

BREAKING: RASMI Kiungo Salum Aboubakhari ametambulishwa Yanga akiwa mchezaji huru. Nyota huyo alikuwa anakipiga ndani ya Azam FC ambapo mkataba wake ulikuwa unatarajiwa kumeguka msimu huu lakini aliomba kuvunja mkataba. Hiyo ilitokana na matatizo ya kinidhamu ambapo ilipelekea akasimamishwa kwa muda usiojulikana na hata walipoambiwa warudi kambini Sure Boy hakuwa tayari kurudi aliomba kuvunjiwa mkataba…

Read More

DAKIKA 90, KMC 1-4 SIMBA

SIMBA watakula Christmas wakiwa na pointi zao tatu kibindoni baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya KMC. Mchezo wa leo ulikuwa na ushindani mkubwa na mashabiki wengi walijitokeza Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kushuhudia mchezo huo. Simba waliweza kupachika mabao yao kupitia kwa Mohamed Hussein dk 10,Joash Onyango dk 13 na Kibu Dennis alipachika…

Read More