
HUYU HAPA ANATAJWA KUWA KOCHA MPYA SIMBA
INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye mazungumzo na Stuart Baxter aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kaizer Chiefs Kabla ya kufungashiwa virago vyake huko ili aweze kubeba mikoba ya Pablo Franco. Kwa sasa Simba ipo kwenye mchakato wa kusaka kocha mpya ambapo CV zinatajwa kuwa zaidi ya 100 mezani kwa mabosi hao ambao wapo kwenye hatua za mwisho…