
KILA KITU KIWE KWA MIPANGO LALA SALAMA KWENYE LIGI
KWA sasa kila mtu anaona namna ligi ilivyo huku kila mmoja akipambana kutimiza malengo yake binafsi pamoja na ya timu ambayo haya ni muhimu kuweza kupatikana kisha mchezaji itakuwa ni baadaye katika kufanya majukumu yake. Pongezi kubwa kwa makocha kwa msimu huu wameweza kwenda na ile kasi ambayo walianza nayo tangu mwanzo wa msimu mpaka…