
SAUTI: YANGA HESABU ZAO KWA AL HILAL, DAU LAONGEZWA
WAKIWA kwenye maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal, Jumapili, mabosi Yanga wanatajwa kuongeza dau ili wachezaji kuongeza nguvu kusaka ushindi
WAKIWA kwenye maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal, Jumapili, mabosi Yanga wanatajwa kuongeza dau ili wachezaji kuongeza nguvu kusaka ushindi
VIGOGO wawili Yanga waongeza nguvu Sudan, ili kuifunga Al Hilal, Simba yaipa somo Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
BAADA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 1-1 Al Hilal mastaa wa Yanga wamerejea kambini na kuanza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao wa marudio. Mpango mpya kwa sasa ni kuwarejesha mastaa wote kwenye ubora wao na kufanyia kazi makosa ambayo walifanya mchezo uliopita Oktoba 8,2022. Jumapili ya Oktoba 16,2022 mchezo huo unatarajiwa…
JANA kikosi cha Simba kiliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hii ni simulizi namna ilivyokuwa
Usiku wa deni hakawii kukucha, yes ukisema hivyo utakuwa hujakosea kabisa ni usiku wa deni kwenye Ligi ya Mabingwa wiki hii, ni mechi za marudiano kutafuta kufuzu hatua ya robo fainali. Mbungi litaanza usiku wa Jumanne ambapo macho ya wengi yatakuwa kwenye runinga, ni pale ambapo AC Milan watakapo wakaribisha Chelsea kutoka London, kwenye…
WALIMA Zabibu kutoka makao makuu ya Tanzania, Dodoma Jiji wamefikia makubaliano ya pande zote mbili kuvunja mkataba wa Masoud Djuma ambaye alikuwa ni kocha mkuu. Mbali na Djuma ni benchi lote la ufundi la timu hiyo limevunjwa kwa ajili ya kufanya maboresho upya. Ni Mohamed Muya huyu alikuwa ni kocha msaidizi ndani ya Dodoma Jiji…
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Septemba ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Kiungo huyo ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Moses Phiri mshambuliaji wa Simba na Relliats Lusajo wa Namungo. Taarifa iliyotolewa na Kamati ya Tuzo ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) imeeleza kuwa mchezaji huyo alichaguliwa kutokana na kuonyesha uwezo…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata ugenini kwenye mchezo dhidi ya de Agosto ya Angola unatokana na jitihada za wachezaji pamoja na mipango ya Mungu. Kikosi cha Simba jana Oktoba 9,2022 kiliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo ambao walikuwa ugenini. Leo kikosi kimerejea kwa…
BAO la mapema Alex Iwobi ambalo alifunga dakika ya 5 halikutosha kuwapa pointi tatu mbele ya Man Chester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ni Antony aliweka usawa dakika ya 15 na kufanya ubao wa Uwanja wa Goodison Park kusoma Everton 1-1 United. Dakika ya 44 Cristiano Ronaldo alipachika bao la ushindi na kuifanya…
PASI milioni amsifia Chama, abainisha kuwa Juma Mgunda apewe timu
MASHABIKI wa Simba wameweka wazi kuwa kimataifa watafanya kazi kubwa kupata ushindi kwenye mechi za kimataifa
THIS is Simba, kwani nyie mnafeli wapi? Yanga SC inapenya Sudan ndani ya Championi Jumatatu
WAKIWA ugenini leo Oktoba 9,2022 Simba imeshinda kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Bao la mapema kwa Simba lilifungwa na Clatous Chama dakika ya 8 akitumia pasi ya Agustin Okra. Bao la pili ni mali ya Israel Mwenda ambaye ni beki alipachika bao hilo dakika…
SIMBA leo ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto ya Angola, hiki hapa kikosi kinachotarajiwa kuanza
UZOEFU wa nyota wa kimataifa waliopo ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni pamoja na Djuma Shaban, Yannick Bangala na Tuisila Kisinda ni sababu ya Yanga kuwa imara. Chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, Yanga imecheza mechi 42 za ligi bila kupoteza na jana wametoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1Al Hilal. Kocha Mkuu wa…
REKODI zinaibeba Simba,tulieni kazi haijaisha, Mayele ambeba tuzo Afrika ndani ya Spoti Xtra Jumapili
DAKIKA 90 zimekamilika, Uwanja wa Mkapa kwa timu zote mbili kutoshana nguvu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ubao umesoma Yanga 1-1 Al Hilal, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya Pili, mchezo ujao Yanga wanakibarua cha kusaka ushindi ugenini ili kukata tiketi ya kutinga hatua ya makundi. Watupiaji ni Fiston Mayele dakika…