YANGA NDANI YA DAR,YAJIVUNIA REKODI YAO

BAADA ya kupoteza mchezo wa jana wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu FC kikosi cha Yanga kimewasili salama Dar. Novemba 29/2022 itakuwa kwenye rekodi ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuonja joto ya kupoteza mechi ya ligi kwa mara ya kwanza tangu itunguliwe Aprili 25,2021. Timu ya mwisho kuifunga Yanga ilikuwa ni…

Read More

KINAWAKA KOMBE LA DUNIA KUUKARIBISHA DESEMBA, USIWE NYUMA BURUDIKA NA MERIDIANBET

Ni siku nyingine tena ya kushuhudia mbungi ikipigwa kwenye viwanja mbalimbali Qatar, ni mechi za kufunga mwezi Novemba na kuukaribisha mwezi wa Sikukuu Desemba. Jumatano tulivu ya kumtazama Kylian Mbappe, Messi na Robert Lewandowsk,pia ni Alhamis njema kabisa ya kuziona Ubelgiji, Hispania, Ujerumani na Croatia zikitoa burudani ya mocho na roho. Usiwe nyuma burudika ukibeti…

Read More

KOCHA KMC ATAJA WANAPOKWAMA

KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa wanashindwa kupata matokeo mazuri kwenye mechi ambazo wanacheza kutokana na wachezaji wake wengi wa kikosi cha kwanza kutokuwepo kikosini. KMC mchezo wake uliopita wa ligi ubao wa Uwanja wa Uhuru ulisoma KMC 0-0 Prisons na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Kocha huyo ameweka wazi anaamini wachezaji wake wakipona…

Read More

IHEFU 1-1 YANGA

UBAO wa Uwanja Highland Estate dakika 45 unasoma Ihefu 1-1 Yanga ambapo kila timu imepata bao moja ambalo linawapeleka kwenye mapumziko. Ni Yanga walianza kupata bao kupitia kwa Yannick Bangala dakika ya 8 ambaye alipachika bao kwa kichwa akitumia pasi ya Lomalisa. Kwa upande wa Ihefu bao lao lilipatikana kupitia kwa Tigere dakika ya 43…

Read More

KIKOSI CHA IHEFU V YANGA

KIKOSI cha Ihefu leo kinawakaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni. Kwenye kikosi ambacho kimetolewa kwa Ihefu jeshi la kazi lipo namna hii:-  Mapara, Nicolas Wadada Mwasapili Nyosso Kissu Onditi Loth Tigere Mahundi yeye ni nahodha Mwalyanzi Jaffary Kibaya

Read More

NYOTA HAWA YANGA KUIKOSA IHEFU

KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison anatarajiwa kuukosa mchezo wa leo dhidi ya Ihefu utakaochezwa Uwanja wa Highland Estate. Nyota huyo ataungana na wachezaji wengine ikiwa ni pamoja na Feisal Salum, Heritier Makambo ambao hawajawa fiti. Nyota hawa walikosekana pia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City wakati timu hiyo ilipoibuka na ushindi wa mabao…

Read More

PHIRI KAVUNJA REKODI MBOVU SIMBA

MOSES Phiri nyota wa Simba amevunja rekodi yake ya kushindwa kufunga nje ya Dar kwenye mechi za ligi ambazo alicheza msimu huu wa 2022/23. Kibindoni Phiri ana mabao 8 ambapo sita alifunga Uwanja wa Mkapa aliwafunga bao mojamoja Geita Gold,Kagera Sugar,KMC,Dodoma Jiji, Mtibwa Sugar na Namungo. Nje ya Dar ilikuwa dhidi ya Tanzania Prisons, ubao uliposoma Prisons…

Read More

YANGA MIKONONI MWA IHEFU

BAADA ya kusepa na pointi tatu mbele ya Mbeya City,Novemba 26,2022 Uwanja wa Mkapa kituo kinachofuata ni Highland Estate. Yanga ilishinda mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City na mtupiaji wa mabao yote mawili alikuwa ni Fiston Mayele ambaye anafikisha mabao 10. Mayele alipachika bao la uongozi kwa pasi ya Khalid Aucho na lile bao la…

Read More

SUALA LA KUSHUKA DARAJA LIPO, TIMU ZIKUMBUKE HILI

MWANZO siku zote ni wakati wa kutengeneza mwisho kwenye mpango kazi ambao unafanyika hivyo kwa sasa ni maandalizi kwa ajili ya kukamilisha ligi msimu wa 2022/23. Tunaona kuna timu ambazo ushindani wake umekuwa ni wa kawaida wakiamini kwamba wataendelea kucheza ligi hii muda wote hata msimu ukiisha. Kwa wale ambao wanafikiria hivyo kwa sasa ni…

Read More