
SAUTI:NABI AWATULIZA YANGA, KAZI INAFUATA KWA AL HILAL
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewatuliza Yanga kwa kubainisha kuwa bado wana nafasi ya kufuzu hatua ya makundi kwa kuwa wanajipanga kuelekea mchezo wa marudio kupata ushindi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewatuliza Yanga kwa kubainisha kuwa bado wana nafasi ya kufuzu hatua ya makundi kwa kuwa wanajipanga kuelekea mchezo wa marudio kupata ushindi
MCHAMBUZI Ambangile ameweka wazi kuwa Simba wametoa somo kwa watani zao wa jadi kimataifa pia amemzunguzia Juma Mgunda
AHMED ameweka wazi kuwa faida ya bao ambalo wamepata Al Hilal Uwanja wa Mkapa unawapa fursa ya kuweza kusonga mbele ikiwa matokeo yatabaki Yanga 1-1 Al Hilal kimataifa
AL Hilal watakoma, mabosi Yanga wavamia kambini, Moses Phiri atangaza hali ya hatari CAF ndani ya Championi Jumatano
MZEE wa saluti hana ushikaji na makipa ndani ya Ligi Kuu Bara pale anapopata nafasi kwa kuwa amekuwa akiwadhibu namnaanavyotaka iwe nje ya 18 ama ndani ya 18. Ni Moses Phiri raia wa Zambia ambaye ni namba moja kwa utupiaji kwenye kikosi hicho akiwa ametupia mabao manne, tupo naye kwenye mwendo wa data namna hii:-…
MELIS Medo, ametangazwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Dodoma Jiji kwa msimu wa 2022/23. Kocha huyo anachukua mikoba ya Masoud Djuma ambaye alifikia makubaliano ya kuachana na timu hiyo Oktoba 10,2022. Sababu kubwa ya Djuma ambaye aliwahi kuwa kocha msaidizi ndani ya Simba ni kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo msimu wa 2022/23…
WAKIWA kwenye maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal, Jumapili, mabosi Yanga wanatajwa kuongeza dau ili wachezaji kuongeza nguvu kusaka ushindi
VIGOGO wawili Yanga waongeza nguvu Sudan, ili kuifunga Al Hilal, Simba yaipa somo Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
BAADA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 1-1 Al Hilal mastaa wa Yanga wamerejea kambini na kuanza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao wa marudio. Mpango mpya kwa sasa ni kuwarejesha mastaa wote kwenye ubora wao na kufanyia kazi makosa ambayo walifanya mchezo uliopita Oktoba 8,2022. Jumapili ya Oktoba 16,2022 mchezo huo unatarajiwa…
JANA kikosi cha Simba kiliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hii ni simulizi namna ilivyokuwa
Usiku wa deni hakawii kukucha, yes ukisema hivyo utakuwa hujakosea kabisa ni usiku wa deni kwenye Ligi ya Mabingwa wiki hii, ni mechi za marudiano kutafuta kufuzu hatua ya robo fainali. Mbungi litaanza usiku wa Jumanne ambapo macho ya wengi yatakuwa kwenye runinga, ni pale ambapo AC Milan watakapo wakaribisha Chelsea kutoka London, kwenye…
WALIMA Zabibu kutoka makao makuu ya Tanzania, Dodoma Jiji wamefikia makubaliano ya pande zote mbili kuvunja mkataba wa Masoud Djuma ambaye alikuwa ni kocha mkuu. Mbali na Djuma ni benchi lote la ufundi la timu hiyo limevunjwa kwa ajili ya kufanya maboresho upya. Ni Mohamed Muya huyu alikuwa ni kocha msaidizi ndani ya Dodoma Jiji…
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Septemba ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Kiungo huyo ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Moses Phiri mshambuliaji wa Simba na Relliats Lusajo wa Namungo. Taarifa iliyotolewa na Kamati ya Tuzo ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) imeeleza kuwa mchezaji huyo alichaguliwa kutokana na kuonyesha uwezo…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata ugenini kwenye mchezo dhidi ya de Agosto ya Angola unatokana na jitihada za wachezaji pamoja na mipango ya Mungu. Kikosi cha Simba jana Oktoba 9,2022 kiliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo ambao walikuwa ugenini. Leo kikosi kimerejea kwa…
BAO la mapema Alex Iwobi ambalo alifunga dakika ya 5 halikutosha kuwapa pointi tatu mbele ya Man Chester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ni Antony aliweka usawa dakika ya 15 na kufanya ubao wa Uwanja wa Goodison Park kusoma Everton 1-1 United. Dakika ya 44 Cristiano Ronaldo alipachika bao la ushindi na kuifanya…
PASI milioni amsifia Chama, abainisha kuwa Juma Mgunda apewe timu
MASHABIKI wa Simba wameweka wazi kuwa kimataifa watafanya kazi kubwa kupata ushindi kwenye mechi za kimataifa